Musoma: CHADEMA yatangaza operesheni 'Katiba Mpya'

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,808
218,463
Chama Pekee cha siasa chenye uwezo wa kufanya mikutano ya hadhara nchini Tanzania (CHADEMA), leo 22/01/2023, huko Musoma Mjini kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Mkendo, kimetangaza hadharani kuzindua Operesheni mpya na kabambe, Inayoitwa Operesheni Katiba Mpya.

FB_IMG_1674400943526.jpg


Huu ni mpango kabambe ambao CHADEMA watatembea nao kwenye mikutano ya hadhara nchi nzima, kwa lengo la kuwaelimisha wananchi umuhimu wa katiba, ili kuharakisha upatikanaji wake.

Sasa kazi imeanza rasmi.
 
Chama Pekee cha siasa chenye uwezo wa kufanya mikutano ya hadhara nchini Tanzania ( CHADEMA ) , leo 22/01/2023 , huko Musoma Mjini kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Mkendo , kimetangaza hadharani kuzindua Operesheni mpya na kabambe , Inayoitwa Operesheni Katiba Mpya .

View attachment 2491762

Huu ni mpango Kabambe ambao Chadema watatembea nao kwenye Mikutano ya hadhara Nchi nzima , kwa lengo la kuwaelimisha wananchi umuhimu wa katiba , ili kuharakisha upatikanaji wake .

Sasa Kazi imeanza rasmi .
Sometimes ON/Off. Wekeni misimamo inayoeleweka kama mnataka ikulu au la.
 
Chama Pekee cha siasa chenye uwezo wa kufanya mikutano ya hadhara nchini Tanzania ( CHADEMA ) , leo 22/01/2023 , huko Musoma Mjini kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Mkendo , kimetangaza hadharani kuzindua Operesheni mpya na kabambe , Inayoitwa Operesheni Katiba Mpya .

View attachment 2491762

Huu ni mpango Kabambe ambao Chadema watatembea nao kwenye Mikutano ya hadhara Nchi nzima , kwa lengo la kuwaelimisha wananchi umuhimu wa katiba , ili kuharakisha upatikanaji wake .

Sasa Kazi imeanza rasmi .
Tumeona mpaka operesheni kata maji hiyo katiba itakufa kama operesheni ujuta!
 
Chama Pekee cha siasa chenye uwezo wa kufanya mikutano ya hadhara nchini Tanzania ( CHADEMA ) , leo 22/01/2023 , huko Musoma Mjini kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Mkendo , kimetangaza hadharani kuzindua Operesheni mpya na kabambe , Inayoitwa Operesheni Katiba Mpya .

View attachment 2491762

Huu ni mpango Kabambe ambao Chadema watatembea nao kwenye Mikutano ya hadhara Nchi nzima , kwa lengo la kuwaelimisha wananchi umuhimu wa katiba , ili kuharakisha upatikanaji wake .

Sasa Kazi imeanza rasmi .
Yaani Mbowe aache kula ahangaike na likatiba
 
Chama Pekee cha siasa chenye uwezo wa kufanya mikutano ya hadhara nchini Tanzania ( CHADEMA ) , leo 22/01/2023 , huko Musoma Mjini kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Mkendo , kimetangaza hadharani kuzindua Operesheni mpya na kabambe , Inayoitwa Operesheni Katiba Mpya .

View attachment 2491762

Huu ni mpango Kabambe ambao Chadema watatembea nao kwenye Mikutano ya hadhara Nchi nzima , kwa lengo la kuwaelimisha wananchi umuhimu wa katiba , ili kuharakisha upatikanaji wake .

Sasa Kazi imeanza rasmi .
Mbio za sakafuni
 
Chama Pekee cha siasa chenye uwezo wa kufanya mikutano ya hadhara nchini Tanzania ( CHADEMA ) , leo 22/01/2023 , huko Musoma Mjini kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Mkendo , kimetangaza hadharani kuzindua Operesheni mpya na kabambe , Inayoitwa Operesheni Katiba Mpya .

View attachment 2491762

Huu ni mpango Kabambe ambao Chadema watatembea nao kwenye Mikutano ya hadhara Nchi nzima , kwa lengo la kuwaelimisha wananchi umuhimu wa katiba , ili kuharakisha upatikanaji wake .

Sasa Kazi imeanza rasmi .
Tunadai katiba mpya
 
Chama Pekee cha siasa chenye uwezo wa kufanya mikutano ya hadhara nchini Tanzania ( CHADEMA ) , leo 22/01/2023 , huko Musoma Mjini kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Mkendo , kimetangaza hadharani kuzindua Operesheni mpya na kabambe , Inayoitwa Operesheni Katiba Mpya .

View attachment 2491762

Huu ni mpango Kabambe ambao Chadema watatembea nao kwenye Mikutano ya hadhara Nchi nzima , kwa lengo la kuwaelimisha wananchi umuhimu wa katiba , ili kuharakisha upatikanaji wake .

Sasa Kazi imeanza rasmi .
Kauli kama hii thabiti ndiyo njaa na kiu ya siku zote ya wapenda mbadiliko kote nchini. Naamini viongozi wa CDM hawataangalia pale walipoangukia jana jijini Mwanza, bali watajali zaidi pale walipojikwaa kihoja na hatimaye kupepesuka na kuanguka.

Mikakati ya CDM kihoja iwe ni kuleta mabadiliko, na kuonyesha mapungufu makubwa ya kiuongozi na kiutawala ya chama tawala. Hatutegemei kusikia tena sifa zozote zile zikimiminwa kwa viongozi wa CCM, zaidi ya spana kali dhidi yao, na mikakati ya uhakika ya kuwaletea wananchi mageuzi ya kweli ya kijamii na kiuchumi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom