Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri Bahari Zanzibar Shekha Ahmed Mohamed, amekiri kupokea taarifa za kujirusha baharini kwa kijana huyo Mahmoud Mwalim Saleh ‘30’ wakati akiwa kwenye Boti ya Zanzibar 3 iliyokua ikitokea Pemba kurejea Zanzibar
Tukio hilo limetokea majira ya saa 4:30 asubuhi wakati Boti hiyo ikitokea Pemba ilipofika eneo la Fungu Mayale ndipo kijana huyo alipojirusha.
Boti hiyo ilizunguka maeneo hayo mara tatu kwaajili ya kufanya doria ya kumtafuta lakini haikufanikiwa kumuona, pia Kikosi cha KMKM kilifanya juhudi za kumtafuta lakini hakuonekana.
ANGALIA VIDEO
Tukio hilo limetokea majira ya saa 4:30 asubuhi wakati Boti hiyo ikitokea Pemba ilipofika eneo la Fungu Mayale ndipo kijana huyo alipojirusha.
Boti hiyo ilizunguka maeneo hayo mara tatu kwaajili ya kufanya doria ya kumtafuta lakini haikufanikiwa kumuona, pia Kikosi cha KMKM kilifanya juhudi za kumtafuta lakini hakuonekana.
ANGALIA VIDEO