frank cain
JF-Expert Member
- Dec 17, 2012
- 470
- 69
Mmezoea kukodishwaWadau.....sababu hasa ilikuwa nini?....isijekuwa wamekodiwa wamdhalilishe......mh Rais ambaye ni jirani yetu.........
Mmezoea kukodishwaWadau.....sababu hasa ilikuwa nini?....isijekuwa wamekodiwa wamdhalilishe......mh Rais ambaye ni jirani yetu.........
Kitu cha may mnaleta leo, aibu kwenu watz jengeni nchi yenu inayoongozwa na mugamiaji
Hawa mbona ni wahuni wako 16 tu sasa hawa ni wahalifu tu hii sio heshima MIafrika mijinga saanaa..mbona Obama anaua kila siku hata kule Libya haiandamani mijinga sana ..