VIDEO: Kagame apigwa mawe London

VIDEO: Kagame apigwa mawe London

Waajaameni msiwe kama wanyarwanda na nyinyi, kutumia uongo kujipatia point nyepesi kisiasa. Kwanza hii ilikuwa ni mwezi May/June. (Nilikuwepo kwenye mkutano huu) na waliompiga mawe(hayakuwa mawe, ni mayai) hawakuwa wanyarwanda. Wakongo ndiyo waliomrushia mayai.
Wanyarwanda wa Uingereza wote ni watutsi, (sisemi kama hakuna wahutu, lakini mimi sijawahi kuwaona). Na Brussels nako ni hivyo hivyo, kuna siku wa-kongo walichachamaa wakawa wanatoa kichapo kwa wanyarwanda. Kwa ufupi, wanyarwanda wa Uingereza wote wanamuabudu Kagame na hawawezi kumtupia mayai "mawe".

Ahsante kwa kututhibitishia kuwa tukio liitokea...
Hembu tutafsirie yule Mtangazaji alikuwa anasemaje ?
 
Dawa ya moto ni moto Ngoja na yeye ajue Kuwa matendo yake yanajulika !na watu wamechoka sasa
 
Wajinga ndo waliwao!
Hawa mbona ni wahuni wako 16 tu sasa hawa ni wahalifu tu hii sio heshima MIafrika mijinga saanaa..mbona Obama anaua kila siku hata kule Libya haiandamani mijinga sana ..
 
Hawa 'protesters' ni Wakongomani na sio Wanyarwanda na hata mtangazaji huyo ni Mkongomani anatangaza Kifaransa chenye lafidhi ya lugha ya Kilingala.(so it's sorts of french-lingala mix).

Otherwise, hata mimi nimecheka sana jinsi huyo repota alivyokuwa excited na kukazia ujumbe kuwa leo "Presidenti ya Rwanda.blah blah..Ooh presidenti ya Rwanda!....blah blah.🙂

Yani hii sijui TV ya wapi...
Mtangazaji anatangaza kama anaimba

[IMG said:
https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/misc/quote_icon.png[/IMG] By CaptainDunga
[IMG said:
Mm anayenichekesha ni huyo mtangazaji anatakaza kwa mbwembwe ajabu!!!
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Naona bado Waziri Mkuu wa TZ Nae kupigwa mawe UK maana na Watu pia wamemchoka pia
 
Ahsante kwa kututhibitishia kuwa tukio liitokea...
Hembu tutafsirie yule Mtangazaji alikuwa anasemaje ?

Wee unakorogwa,,au????? sasa mimi nikutafsirie kwani mimi mcongo au mnyarwanda? Kama umechoka kuongea katafute mavi ya kuku uchezee huko
 
Tata somoche amang'ana. Hii ni somoche karibu na nyansurura au kuna nyingine??
Hawa mbona ni wahuni wako 16 tu sasa hawa ni wahalifu tu hii sio heshima MIafrika mijinga saanaa..mbona Obama anaua kila siku hata kule Libya haiandamani mijinga sana ..
 
Wee unakorogwa,,au????? sasa mimi nikutafsirie kwani mimi mcongo au mnyarwanda? Kama umechoka kuongea katafute mavi ya kuku uchezee huko
Mimi nimekuomba Tafsiri wewe unatoa Kashfa zote hizo...
Si ungesema tu kuwa wewe si M-Congo au Mrwanda...

Poa wacha nikatafute hayo mavi ya Kuku
 
Hawa polisi wamefundishwa kazi sio bongo hapo damu ingekuwa tayari imwemwagikaa!!!!kibongo bongo tena hawalembi ungeona wamebeba masilaha mazito mazito utafikiri kuna vita
Mkuu ni vigumu sana kulinda amani kama mlinzi wa amani binafsi hana amani katika moyo wake! polisi wa ki-bongo hawana amani katika nafsi, wengi hawajui maana ya kazi waifanyayo, wengi hawa-qualify basi tu! wakiambiwa nendeni mkatulize ghasia au kalindeni amani basi wanakaa umbali wa mita mia moja halafu wanaanza kulenga risasi za moto! nafikiri wamekaa kivita vita tu..
 
Ama kweli watutsi wana dharau; eti mmoja anasema baada ya kisa hicho anaona halali kwa wao kukalia koloni lao la congo ili kuwaelimisha na kutumia madini yao kuendeleza rwanda na kwamba wakongo ni washenzi kama huamini njoo kongo uone .......
 
Huyu jamaa na maasira yake yakimasai, TZ tukae macho!
 
There is a line that he can not cross....Duuh, there are people that he can not play with ..
 
Angalieni mzee wa "I will hit you" watu walivyom-hit



Published on May 18, 2013
Suivez nous sur Tele 24 Live
Les combattants frappent, PAUL KAGAME en fuite et se cache sur la petite porte en clé boa.

Issue yenyewe ya Tangu mwezi wa Tano ndiyo mnaileta leo nakuifanya habari mpya






 
Last edited by a moderator:
Published on May 18, 2013
Suivez nous sur Tele 24 Live
Les combattants frappent, PAUL KAGAME en fuite et se cache sur la petite porte en clé boa.

Issue yenyewe ya Tangu mwezi wa Tano ndiyo mnaileta leo nakuifanya habari mpya







Tunaletewa habari za Hitler leo na hatukuwepo, sembuse ya mwezi 5? Habari ni habari tu.
 
Back
Top Bottom