VIDEO: Kagame apigwa mawe London

VIDEO: Kagame apigwa mawe London

Wadau.....sababu hasa ilikuwa nini?....isijekuwa wamekodiwa wamdhalilishe......mh Rais ambaye ni jirani yetu.........

Mdau tatizo jamaa sijui wanaongea Lugha Gani..
Lakini wale Jamaa kama si Warwanda basi ni Wa-Congo...
Wanadai jamaa ni Muuaji---nakisia tu sina uhakika
 
Kagame ndiyo atajua kuwa watu amewachosha ni somo tosha kwake kuishinei babu ji.
 
Sijui akirudi atatanguliza mguu gani kushuka kwenye ndege pale kigari aibu yake muuaji huyu.
 
Mimi sijaona chochote nasikia tu huyo mwenye mic anasema "presidentee le rwanndaa kanywera kanywera" mimi nimeboreka aisee!!! lakini mwacheni tu apigwe tumemchoka hata sisi watanzania!!!!
 
Hawa polisi wamefundishwa kazi sio bongo hapo damu ingekuwa tayari imwemwagikaa!!!!
 
Mbona hii ilikuwa May ...
Kweli Hii video inaonesha ni ya May..
Cha ajabu hii habari illipotezewa Ki ajabu ajabu

Halafu Kagame akawaambia wale waandamaji eti warudi Rwanda wakayamalize
 
Hawa mbona ni wahuni wako 16 tu sasa hawa ni wahalifu tu hii sio heshima MIafrika mijinga saanaa..mbona Obama anaua kila siku hata kule Libya haiandamani mijinga sana ..
 
Mimi sijaona chochote nasikia tu huyo mwenye mic anasema "presidentee le rwanndaa kanywera kanywera" mimi nimeboreka aisee!!! lakini mwacheni tu apigwe tumemchoka hata sisi watanzania!!!!

Labda maana yake ni "Raisi wa Rwanda anywea baada ya watu Kum-hit"
 
Kitu cha may mnaleta leo, aibu kwenu watz jengeni nchi yenu inayoongozwa na mugamiaji
 
Hawa mbona ni wahuni wako 16 tu sasa hawa ni wahalifu tu hii sio heshima MIafrika mijinga saanaa..mbona Obama anaua kila siku hata kule Libya haiandamani mijinga sana ..

Haijalishi wapo wangapi...
Tunachoangalia ni jinsi alivyotoka nduki....
si anajifanya shujaa...angebaki basi katika eneo la tukio
 
Haijalishi wapo wangapi...
Tunachoangalia ni jinsi alivyotoka nduki....
si anajifanya shujaa...angebaki basi katika eneo la tukio

Umebanwa wewe...Hujui yule ni mkuu wa nchi au unadhan anazurura kama kunguru bila utaratibu kama wewe...asimame wapi mkuu wa nchi anaongzwa na ratiba maalum na hajakimbia kitu chochote, chuki na hsuda zinawasumbua Kagame ni jembe..Miafrika kwasababu ya ufinyu wa akili na uzezeta mnataka mtu akisemwa mzuri na wazungu na nyie eti ndio sawa, hawa wazungu wameua mamilion ya watu Afrika hapa tena wengine watu mhimu kweli...
 
Kitu cha may mnaleta leo, aibu kwenu watz jengeni nchi yenu inayoongozwa na mugamiaji

Aisee hii hata ingekuwa ya mwaka juzi aibu kubwa hii haiwezi futika mbele ya uso wa dunia! Unapigwa mawe ughaibuni??? Ashukuru hao wazungu angenyofolewa hadi pua!!
Ila hii safi viongozi wenye madudu wanaotembeza vibakuli kila kukicha ughaibuni wangekutana na kadhia kama hizi pengine akili ingewarejea maramoja!
 
Kakutana na wababe wenzake ambao hawaijui mambo ya diplomasia kama yeye! Teh teh acha nicheke kwa furaha
 
Waajaameni msiwe kama wanyarwanda na nyinyi, kutumia uongo kujipatia point nyepesi kisiasa. Kwanza hii ilikuwa ni mwezi May/June. (Nilikuwepo kwenye mkutano huu) na waliompiga mawe(hayakuwa mawe, ni mayai na kitu kingine chochote ambacho mtu alikuwa nacho mkononi) hawakuwa wanyarwanda. Wakongo ndiyo waliomrushia mayai.
Wanyarwanda wa Uingereza wote ni watutsi, (sisemi kama hakuna wahutu, lakini mimi sijawahi kuwaona). Na Brussels nako ni hivyo hivyo, kuna siku wa-kongo walichachamaa wakawa wanatoa kichapo kwa wanyarwanda. Kwa ufupi, wanyarwanda wa Uingereza wote wanamuabudu Kagame na hawawezi kumtupia mayai "mawe".
 
Back
Top Bottom