Naomba kuona account zako za X na mitandao mingine kama unafanya unayoyafanya humu TENA KWA MAJINA YAKO HALISI..... Jf inawafanya wapumbavu kujiona mnajua sana na vpn za bure.Usiuze uoga baki nao hapohapo nyumbani kwenu usiwauzie wengine
Acha kupiga watu beat hapa.... uwezi kuimili maoni ya wengine, ni bora ukae mbali na mitandao.... unaleta pigo za kiduwanzi alafu ukijibiwa unaleta vitisho, utafilimbwa siku mojaNaomba kuona account zako za X na mitandao mingine kama unafanya unayoyafanya humu TENA KWA MAJINA YAKO HALISI..... Jf inawafanya wapumbavu kujiona mnajua sana na vpn za bure.
Mbona hamna kosa alilolifanya hapoKuna haja ya watu kufanya maisha na sio masihara mitandaoni.... Sikubaliani na kukamatwa kwake ila kaidhihaki taasisi ya urais, kwa watu alionao mtandaoni kwa maana nyingine kaidharau taasisi na mamlaka kwa ujumla mbele ya wafuasi wake.
Hii huenda aliifanya for funy hakujua nini kitafuata ila asishangae ikavuruga mambo yote aloyapambania kwa muda mrefu kwa ujinga wa sekunde 30 tu. Tunahitaji kuwa brave sana na mitandao hasa ya wazi huu ndo ukweli mchungu hakuna uhuru huo unaodhani unao linapokuja swala la kuilinda dola.
Kama unabisha toka humu kayafanye unayoyafanya ukiwa known
Qmmk!nafikiri ni kama haikua ya heshima kwa namna moja au nyingine
Unajua hii dhana ya uhuru wa maoni na uhuru wa kujieleza bado kabisa hatujaielewa wala kuikubalia kama kanuni.Video inayodaiwa kuwa imefanya Niffer atekwe na watu wasiojulikana
View attachment 3494741
Hili songi tamu sana. Nadhani CCM. Wangeitumia positevely ingewasaidia kuwavushaVideo inayodaiwa kuwa imefanya Niffer atekwe na watu wasiojulikana
View attachment 3494741
Kama ni suala la kukosa heshima, basi Samia awe wa kwanza kutekwa. Alipiga picha kwenye ikulu ya nchi yetu akiwa kapakatwa na bwana Wicknell Chivayo huku akiwa kwenye kanganafikiri ni kama haikua ya heshima kwa namna moja au nyingine
Je mamlaka zinatafsiri hivyo???Mbona hamna kosa alilolifanya hapo
Dada kitisho kiko wapi hapo..... Tunajifanya wajuaji saana humu kelele nyingiii nje ya hapa hamna lolote.. ni wale walewale wafi... R*#$@ji tuAcha kupiga watu beat hapa.... uwezi kuimili maoni ya wengine, ni bora ukae mbali na mitandao.... unaleta pigo za kiduwanzi alafu ukijibiwa unaleta vitisho, utafilimbwa siku moja
Kulinda dola? Hapo amehatarishaje mustakabali wa dola? Hakuna lyrics zinazohatarisha hata maisha za sisimizi kwenye huo wimbo, yaani kaanza kula kichapo brutal hapahapo dukani kwake mpaka damu kibao je wakimfikisha huko ambapo hakuna raia anayeona? Hakuna justifications za mtu kuchukuliwa kisa kacheza mziki ambapo wala hajavaa provocatively. Angeitwa BASATA basi kama wanavyoitwa wengine na aelezwe kosa lake.Kuna haja ya watu kufanya maisha na sio masihara mitandaoni.... Sikubaliani na kukamatwa kwake ila kaidhihaki taasisi ya urais, kwa watu alionao mtandaoni kwa maana nyingine kaidharau taasisi na mamlaka kwa ujumla mbele ya wafuasi wake.
Hii huenda aliifanya for funy hakujua nini kitafuata ila asishangae ikavuruga mambo yote aloyapambania kwa muda mrefu kwa ujinga wa sekunde 30 tu. Tunahitaji kuwa brave sana na mitandao hasa ya wazi huu ndo ukweli mchungu hakuna uhuru huo unaodhani unao linapokuja swala la kuilinda dola.
Kama unabisha toka humu kayafanye unayoyafanya ukiwa known
Heshima ni nini mkubwa, tuanzie hapo mtaalam.nafikiri ni kama haikua ya heshima kwa namna moja au nyingine