Alex khalifa
JF-Expert Member
- Oct 22, 2025
- 282
- 512
hawawezi huyo ni msanii k7fany hvowataleta makund kwq wasanii ambao wanamchango mkubwa sana ccmWashaenda kumuua harudi tena huyo
hawawezi huyo ni msanii k7fany hvowataleta makund kwq wasanii ambao wanamchango mkubwa sana ccmWashaenda kumuua harudi tena huyo
Upo nae hapo sebleni kwako mnachambua maharage ya Mbeya? Na polepole umemficha chumbani kwako?Anarudi mkuu
Harudi ulisikia wanaangalia msanii hao nenda kasikilize ile audio sikiliza mpaka mwisho, wameshakwambia hakuna anekufa mara mbili tumia akilihawawezi huyo ni msanii k7fany hvowataleta makund kwq wasanii ambao wanamchango mkubwa sana ccm
Sawasawa mkuuUpo nae hapo sebleni kwako mnachambua maharage ya Mbeya? Na polepole umemficha chumbani kwako?
Amesema hakuna anaekufa mara mbili kamuulize kwanini atakupa jibu kwa niniSawasawa mkuu
Kukosa heshima ni kosa kisheria? Hukumu yake ni nini??nafikiri ni kama haikua ya heshima kwa namna moja au nyingine
akirudi nikufanye nini mkuuuHarudi ulisikia wanaangalia msanii hao nenda kasikilize ile audio sikiliza mpaka mwisho, wameshakwambia hakuna anekufa mara mbili tumia akili
Kwa mujibu wa lile genge la wauaji hukumu wameshaisema hakuna anaekufa mara mbiliHukumu yake ni nini??
Hii ina wapumbavu kuliko nilivyofikiria 🤮nafikiri ni kama haikua ya heshima kwa namna moja au nyingine
Usiuze uoga baki nao hapohapo nyumbani kwenu usiwauzie wengineKuna haja ya watu kufanya maisha na sio masihara mitandaoni.... Sikubaliani na kukamatwa kwake ila kaidhihaki taasisi ya urais, kwa watu alionao mtandaoni kwa maana nyingine kaidharau taasisi na mamlaka kwa ujumla mbele ya wafuasi wake.
Hii huenda aliifanya for funy hakujua nini kitafuata ila asishangae ikavuruga mambo yote aloyapambania kwa muda mrefu kwa ujinga wa sekunde 30 tu. Tunahitaji kuwa brave sana na mitandao hasa ya wazi huu ndo ukweli mchungu hakuna uhuru huo unaodhani unao linapokuja swala la kuilinda dola.
Kama unabisha toka humu kayafanye unayoyafanya ukiwa known
Wameenda kumuua kwa sababu za kiduwanzi sanaINABOA SANA KUMAMAKE ZAO
Ndo atekwee??mijitu mingine mikuma kwelinafikiri ni kama haikua ya heshima kwa namna moja au nyingine
basi tuwachie vyombo ya usalama walitizame hilo daiKutekwa ni tendo la kumchukua mtu kwa nguvu au kwa hila bila ridhaa yake, kwa nia ya kumdhibiti, kumficha, au kumtumia kwa shinikizo fulani. Kwa Kiingereza, huitwa “abduction” au “kidnapping.”