Mwambie baba yenu mwaka huu badala ya push up atajamba na kunya mafungumafungu ngoja mda ufike poyoyo wewe.Shetani konyagi kubwa kashindwa nakubali ila mwambieni Mbowe aachane na huyo shetani Kuna siku atamfanya vibaya akianguka kwa kumnywa
Mashetani hayo hayana hoja tena mama yangu na tutawajambisha na movies zenu za ubungo.Konyagi huwa inaona aibu toka lini?
Huwa tunawaambia nendeni shule maana wote ni wajinga kama lusinde by the way wakati analewa na kuanguka ulimuona jiongeze usije kuolewa poyoyo we we.Kweli Mungu anadhihakiwa. Mlevi chakari anashindwa kupanda ngazi anaanguka anaumia halafu anawadanganya watu na kusingizia kaumizwa na watu yote hayo yakiwa machukizo kwa Mungu na kumbe alitoka kwa kimada yakiwa ni machukizo mengine halafu leo mnasema kama si Mungu. Jamani Mungu yupi?? Tuache dhihaka wandugu
Dah...Shetani anaishia kuona aibu sikuzote
Siku nyinginee anywe pombe kistaarabuPigo kubwa kwa ccm na haki lazima itendeke tuu.
uzushi utakupa faida gani ?Siku nyinginee anywe pombe kistaarabu
Kumbe si shetani,bali ni binadamu!?Wakati mwingine shetani mnamuonea.
Ni kweli pombe ni shetani hata bibi Kidude aliimba.Shetani anaishia kuona aibu sikuzote
Huwa tunawaambia nendeni shule maana wote ni wajinga kama lusinde by the way wakati analewa na kuanguka ulimuona jiongeze usije kuolewa poyoyo we we.
jamani hata kwa walevi mnamhusisha mungu? sasa mtu alijilewea zake konyagi akaanguka bado mnasema kapigwa? akili za kushjikiwa kabisa hizoShetani anaishia kuona aibu sikuzote