VIDEO: Hakika nimeuona Ukuu wa Mungu

ila jaman belive or not hawa viumbe wengine knje ya binadam.. some how wamedevelop aina flan ya maarifa tofauti na miaka ya nyuma ( 50yrs back) sas hivi unakuta clip nyani au mbwa au paka. anataka kumpanda kuku.. unakuta jogoo anataka kumpanda kifaranga au mbwa.. unajiuliza akili za kishenz kama za binadam wametoa wapi

sababu imezoeleka brain zao ziko locked kwenye kutafuta chakula siku nzima na kutafuta shade walale yaan hakuna maarifa ya wao kuweza kujihisi kuwa wanahitaj nguo au nyumba..na nje ya hapo Animal insticts imekuwa locked kwenye kusense kiumbe mwingine kama
ni friend or foe kwa ajili ya kujidefend au ku attack... maswala ya kujaamiaana yanakuwa triggered tu kwa msimu.. maana yake hawafanyi mapenz kama starehe kama ilivyo kwa mwanadam
wao ni kwa ajili ya reproduction..


sasa ukiona kiumbe ambaye anataka kumuingilia kiumbe mwingine ambae ni species tofauti na yeye (mfano kuku na mbwa au paka) then unajua kuwa dunia haiko sawa sababu viumbe hawa wawili uhusiano pekee ambao tumezoea kuwaona wanao ni wa mmoja kuweza kumfanya mwenzie kitoweo.. ila sio insticts za kutoka kuwa kitoweo kuwa mwenza maana yake wanyama wameanza kuwa na tabia za kishenz kama za binadam za kulitumia tendo la ndo kama starehe..ndo maana anataka kufanya mapenzi na kiumbe chochote

ingekuwa viumbe kama nyani sokwe na au mbwa.. tungesema unaweza kuwafundisha au somehow brain zao zinavinasaba flan kwa mbal kama
brain za binadam.. ila jamii ya ndege kama
kuku.. au anataka kumpanda mbwa au paka? hiyo
insticts sio ya kawaida
 
Naumiza kichwa huyo mtaalam anayechukua video matukio kama hayo .
Hata kama automatic camcoder , alijuaje kwenye pango hilo patatokea tukio hilo!
Hapo kuna camera nyingi moja imetegeshwa ktk uelekeo wa icho kitawi,na ingine uelekeo wa ilo pango,itakua kuna time walinasa tukio ilo ikabidi watege vyema kunsa ilo tukio, ila nyoka mjanja san mi nikajua mdudu walai khaa
 
Back
Top Bottom