Video: Gari isiyopitisha risasi ikifanyiwa majaribio

Video: Gari isiyopitisha risasi ikifanyiwa majaribio

Amazing, nimeangalia kwa makini hivi mpiga risasi akirudia kulenga alipolenga risasi, je risasi haiwezi kupenya?
Hukuwa makini sana nimetazama kwa uzuri ila amerudia mara moja nami nimejawa na mashaka kama kuna mvua ya risasi na kurudia zaidi ya mara tatu matokeo yake sijui yapoje?!
 
Kiini macho cha risasi za plastiki

Ni kweli, na wala teknolojia ya kutengeneza vioo na mabati/vyuma ambayo ni bullet proof ni ya siku nyingi kuna mpaka fulana ambazo ni bullet proof.

Kwa taarifa yako, hata madirisha ya vioo ya na teller wa Benki mengi ni bullet proof.
 
hii ni gari isiyopitisha risasi ilijaribiwa kwa mtu kukaa ndani kisha kuniminiwa risasi kadhaa


Kwanini tujihami kwa vitu vya hatari kama ivyo,kweli hapa duniani siyo mahali salama kwa kuishi
 
Mkuu kama kwenye kioo wameweza kuzuia itashindikana vp kwenye body nzima

Wanapo tangaza kwamba gari ni bullet proof wanamanisha gari zima including matairi.

Gari la Rais wa Merikani na magari ya ma Mafia na matajiri wengine wanao hofia maisha yao magari yao yako hivyo labda utumie RPG au improvised high explosive zinazo tumika kwenye mzinga wa kifaru cha jeshi, hapa huna ujanja.
 
Kuna bwana mmoja aling'ang'ania kuwa bidhaa za China ni fake tupu, alipopewa risasi aijaribishe kichwani kama ni fake hakuna aliyejua ametoka kupitia mlango gani.
Hahaha kumbe nawe ni comedian
 
Ni tangazo la Biashara,Mercedece Benz wako sokoni,ila huyo jamaa aliekaa ndani lazima amelipwa hela nyingi sana.
 
Mkulima gani masaa 19 yupo jf !!?
Vipi Ben mmempata?
Digitali sio huko kwenu tuu mjini hata huku shamba. Nalima huku katekno kangu kako kiunoni na nime subscibe neno MOTOCHINI, uki comment tuu kasimu kanabip ti ti ti.
Kuhusu Ben bado hatujampata. Na hali ikiendelea hivi lazima tusogee mitaa ya Kigoma kwa Kalumanzila kumshusha mtu busha.
 
Back
Top Bottom