Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,820
- 4,573
Ndugu wa Marehem bilionea Msuya akilia mahakamani baada ya washtakiwa wa mauaji ya Aneth Msuya kuachia huru na Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam leo Februari 23.
Pia soma:
Pia soma:
- Mke wa bilionea Msuya aachiwa huru, Mahakama haikumkuta na hatia
- Dar: Mke wa Bilionea Msuya akutwa na Kesi ya Kujibu mauaji ya wifi yake