Wakuu,
Hii Serikali ya Samia ijitafakari sana, mpaka sasa ndugu zetu wengi walipoteza maisha kwenye Maandamano ya Oktoba 29 na idadi bado haijakamilika maana wengine ndo miili inachukuliwa na hao wanaharamu kuzikwa kusikojulikana ili wapoteze ushahidi
moyo wangu unavuja damu, vijana wadogo sana tumewapoteza kisa mtu hataki kuachia madaraka
------------
Hapa hakuna cha maridhiano wala nini kama anataka maridhiano aturudishie uhai wa hawa watanzania wenzetu zaidi ya 10k laa sivyo tunakutana naye desember 9 na awamu hii hatutaki akimbie nchi afie hapa hapa kama alivyoua wengine.
Hii Serikali ya Samia ijitafakari sana, mpaka sasa ndugu zetu wengi walipoteza maisha kwenye Maandamano ya Oktoba 29 na idadi bado haijakamilika maana wengine ndo miili inachukuliwa na hao wanaharamu kuzikwa kusikojulikana ili wapoteze ushahidi
moyo wangu unavuja damu, vijana wadogo sana tumewapoteza kisa mtu hataki kuachia madaraka
------------
Hapa hakuna cha maridhiano wala nini kama anataka maridhiano aturudishie uhai wa hawa watanzania wenzetu zaidi ya 10k laa sivyo tunakutana naye desember 9 na awamu hii hatutaki akimbie nchi afie hapa hapa kama alivyoua wengine.