GE2025 Video: Coaster zaidi ya 100 kwenda Moshi kuzika wanaodaiwa kuuawa wakati wa uchaguzi

GE2025 Video: Coaster zaidi ya 100 kwenda Moshi kuzika wanaodaiwa kuuawa wakati wa uchaguzi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
We andika tu historia,kwamba 2025 walevi waliojaa chuki za kidini toka kaskazini mashariki mwa Tanzania,walianzisha vurugu huko dar es salaam,walifumuliwa sana
Msiba wa kawaida ukiwa kwa mwingine. Kaa kimya tu acha kushabikia Mauaji ya halaiki. Polisi walikua na uwezo wa kuwakamata waandamanaji, na si kuwapiga risasi.
 
Msiba wa kawaida ukiwa kwa mwingine. Kaa kimya tu acha kushabikia Mauaji ya halaiki. Polisi walikua na uwezo wa kuwakamata waandamanaji, na si kuwapiga risasi.
*** kweli,unawafundisha polisi kazi?..uliwaona polisi waliouawa?.. yaani unahujumu ukitarajiwa ukamatwe,ukafungwe,upewe ugali wa Bure!..rudieni tena kumanina zenu
 
Wakuu,

Hii Serikali ya Samia ijitafakari sana, mpaka sasa ndugu zetu wengi walipoteza maisha kwenye Maandamano ya Oktoba 29 na idadi bado haijakamilika maana wengine ndo miili inachukuliwa na hao wanaharamu kuzikwa kusikojulikana ili wapoteze ushahidi

moyo wangu unavuja damu, vijana wadogo sana tumewapoteza kisa mtu hataki kuachia madaraka

------------
Hapa hakuna cha maridhiano wala nini kama anataka maridhiano aturudishie uhai wa hawa watanzania wenzetu zaidi ya 10k laa sivyo tunakutana naye desember 9 na awamu hii hatutaki akimbie nchi afie hapa hapa kama alivyoua wengine.

Inasikitisha sana 😢
 
Samuya na genge la magaidi wa abdul wameua watu wengi sana ,hapo ni mkoa mmoja tu bado mikoa mingine.
 
Wachaga ndio mlianzisha Heka Heka izo maeneo ya Kimara, Mbezi mmejaa sana na Kule Makongo
 
Hivi hakuna wachawi wabobevu watuondolee huo mkosi hapo ikulu?
Huyo anaondolewa na Mungu sio muda,wala msitumie nguvu nyingi,we subiri kumuona nchimbi akitangaza kwenye Luninga
 
Back
Top Bottom