Bloodstone
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 884
- 953
Haya tu
Maza anafokewa....😎
Na Siro amesema nanukuu: "kama hauwezi kuamini chombo chako...." mwisho wa kunukuu...teh😂
Atakalia chupa
Kiichwa cha habari ulichoweka kina ukakasi maana hakina uwiano wa uhalisia. Kuna video mbili umeambatanisha lakini ya mwingine hujaisemea.View attachment 2160498
Najaribu kuwaza, hapa Afande IGP anamjibu nani? Nikifiria zaidi nahisi kama anamjibu mama.
Msikilize mama hapa 👇
View attachment 2160533
Nikisema Jeshi la Polisi halifanyi kazi vizuri, najibiwa...
Katika nchi ya Pueto rico Rais analalamika akilisema jeshi la Police halifanyi kazi vizuri anajibiwa na IGP / Mkuu wa Jeshi la Police wa Pueto rico. Naomba kunukuu maneno ya Rais wa Pueto rico ' Wewe uamini vyombo vyako ohooo ohoooo' alisikika Rais wa Pueto rico akilalamika kitendo cha utovu wa...www.jamiiforums.com
Siro anatakiwa kuwa gerezani mara mojaView attachment 2160498
Najaribu kuwaza, hapa Afande IGP anamjibu nani? Nikifiria zaidi nahisi kama anamjibu mama.
Msikilize mama hapa 👇
View attachment 2160533
Nikisema Jeshi la Polisi halifanyi kazi vizuri, najibiwa...
Katika nchi ya Pueto rico Rais analalamika akilisema jeshi la Police halifanyi kazi vizuri anajibiwa na IGP / Mkuu wa Jeshi la Police wa Pueto rico. Naomba kunukuu maneno ya Rais wa Pueto rico ' Wewe uamini vyombo vyako ohooo ohoooo' alisikika Rais wa Pueto rico akilalamika kitendo cha utovu wa...www.jamiiforums.com
Soon uteuzi wake utakomaKamanda kaamua liwalo na liwe
Dakika ya ngapi kayasema hayo maneno kwenye hiyo video?
Kwa taarifa yako ile vita na Ndugai ndiyo ilikuwa hatari zaidi kuliko hii..... oopsss ... if bunge lingekuwa la wananchi kweli. Sirro (Ziro) yuko pale kwa kuteuliwa na rais, na anaweza kutolewa wakati wowote on president's plessure! Hata Mkuu wa majeshi, hata mkuu wa Usalama wote hawamfikii spika kama nchi ingekuwa na mihimili inayojitegemea kiukweli. Anyways... walisema ushirika wa wachawi haudumu, walianza na Ndugai, anafuatia Sirro (Ziro), baada ya hapo hatujui ni nani. BTW mama alipoapishwa chama cha wanasheria na Chadema walisema inatakiwa avunje serikali aanze na safu yake akawa mbishi. Matokeo yake ndiyo haya.Kiichwa cha habari ulichoweka kina ukakasi maana hakina uwiano wa uhalisia. Kuna video mbili umeambatanisha lakini ya mwingine hujaisemea.
USHAURI
Rais aache malumbano na vyombo vya majeshi hao sio Ndugai achukue tahadhari. Siku ikitokea akasimama na kusema kama alivyosikika anaongea kana kwamba anampa changa moto mkuu wa jeshi la polisi that shall be the end of her institution, the army or military is not something you can react politically, they do not buy it.
Heshima ni kote kote na warekebishane kwa heshima sio kwenda hadharani na kutoleana ngonjera za mipasho wananchi hatutaki hilo.
Mke wa tatu lazima awe na uzoefu wa kuchambana na wa kwanza na wa pili. Kazi iendelee.Chief Hangaya amepanic sana, uongozi wa nchi hautaki mipasho unataka kazi inayoonekana.
Sasa yeye kila siku ni mipasho tu na viongozi wake wa taasisi au ndio ana copy na ku paste uongozi wa msoga????
hilo la kudhibiti hata kwa Samia imewezekana! Ujambazi mkubwa haufanyiki bila polisi kuwemo ndani yake! aslimia kubwa wahusika wa ujambazi huwa na polisi wamo! Magu aliwabonda mpaka polisi walioshiriki ujambazi ndio.maana pakawa shwariNdani ya mabaya ya S N Sirro kuna na mazuri yake. Zuri moja kubwa ni kudhibiti majambazi ambao walikuwa na utawala wao ndani ya JMT.
mkuu una shida ya masikio?Dakika ya ngapi kayasema hayo maneno kwenye hiyo video?
Kutakucha hivi karibuni.Bila kupiga kelele walikuwa wamejikausha! IGP alikuwa anafaham ila kwakuwa amezoea kuua basi akaona kawaida!
Kiukweli angepumzika tu maana zama za aina yake na matukio yaliyofanywa na Polisi awamu ya 5 ni maisha tofauti na awamu ya 6! kwa hiyo ajiongeze maana mama anataman aweke timu yake kama Mwendazake alivyoweka! SIRRO angestaafu kwa heshima tu
Mama aliachia mpaka ushahidi wa polisi kesi ya mbowe usikike mbele ya watanzania wote, aibu ile haiwezi jificha! mama kila akiwaona polisi anakereka!
Sirro apate wasaa akae na mama amuombe amsamehe mahali alipomkwaza aombe apumzike! mama muungwana sana maana mama ni mama
Hutakiwi kuwalamikia bali kuwachukulia hatua kali kurekebisha ubovu!...Vyuma vimeumana
Hiyo safu yake aipate wapi kama kila mmoja alipata nafasi aliyokuwa nayo kwa nguvu ya hayati JPM pamoja na yeye?Kwa taarifa yako ile vita na Ndugai ndiyo ilikuwa hatari zaidi kuliko hii..... oopsss ... if bunge lingekuwa la wananchi kweli. Sirro (Ziro) yuko pale kwa kuteuliwa na rais, na anaweza kutolewa wakati wowote on president's plessure! Hata Mkuu wa majeshi, hata mkuu wa Usalama wote hawamfikii spika kama nchi ingekuwa na mihimili inayojitegemea kiukweli. Anyways... walisema ushirika wa wachawi haudumu, walianza na Ndugai, anafuatia Sirro (Ziro), baada ya hapo hatujui ni nani. BTW mama alipoapishwa chama cha wanasheria na Chadema walisema inatakiwa avunje serikali aanze na safu yake akawa mbishi. Matokeo yake ndiyo haya.
CCM naielewa sana sana. Ni maslahi tu hakuna cha mtazamo wala nini. Rais Samia alikuwa na bado ana nafasi nzuri kabisa ya kuwatupilia mbaya hawa waganga njaa na akaunda Tanzania mpya yenye wachapa kazi wa kweli na siyo hawa wahuni.Hiyo safu yake aipate wapi kama kila mmoja alipata nafasi aliyokuwa nayo kwa nguvu ya hayati JPM pamoja na yeye?
Unatakiwa uelewe kitu kimoja ndani ya chama cha CCM kuna makundi mawili yenye nguvu
1. Mtazamo wa kulia
2. Mtazamo wa kushoto
Kiongozi yeyote anayetokea upande wowote upande mwingine unachukua nafasi ya upinzani kwa kugawa taarifa kwa upinzani rasmi ambao wana mtazamo mmoja.
Aliyepo sasa hivi madarakani akiondoka, wale wote waliokuwa wakifanya kazi chini yake ni sharti waburuzwe mahakani kwa kesi za kutisha subiri ndipo utaelewa ninachokimaanisha