Mujuni2
Senior Member
- Jun 11, 2008
- 142
- 3
Hili suala linahitaji userious from so called decision makers, kama wachuna ngozi wa Mbeya walimalizwa kwanini hao wa maalbino washindikane?sema kwa sababu haiko katika mikakati ya ushindi wa 2010 ndio maana yanafumbiwa macho.Hii inafanya ile style Mzee mstaafu Mahita ionekane ndio bora zaidi (Shoot ask questions later)