Kamtori
Member
- Jan 2, 2009
- 81
- 10
nimemsikia asubuhi waziri lawrence masha akihojiwa na bbc kuhusu mauaji ya albino alikuwa mkali sana anadai swala lina kuzwa hili na hao wauaji wanashughulikiwa kama kesi zingine.huyu jamaa sikumwelewa.
je kama ndo wanamweka hapoi alipo lazima ahamaki , na damu za waliouwawa kwa hujuma za uchawi zitawafuata siku zote za maisha yao