Vicky Ntetema ajificha baada ya ripoti BBC

nimemsikia asubuhi waziri lawrence masha akihojiwa na bbc kuhusu mauaji ya albino alikuwa mkali sana anadai swala lina kuzwa hili na hao wauaji wanashughulikiwa kama kesi zingine.huyu jamaa sikumwelewa.

je kama ndo wanamweka hapoi alipo lazima ahamaki , na damu za waliouwawa kwa hujuma za uchawi zitawafuata siku zote za maisha yao
 
Mkutano wa Freemason unapofanyika hapa nchini - unatengemea nini? nguvu za giza kila kona ya maisha. Nchi imemwasi Mungu - Ehe Mungu tuokoe wanao.
 
tanaznia ipo vitani siku nyingi sema mpaka vita vikikaribia ikulu ndio watawala wanashituka, hata wale wa sadam hussein walikuwa wakiimba bado wako salama wakati adui alikuwa sebuleni.
Asiyeamini kwamba vita vimeanza siku nyingi angojee kitanda alicholalia kikichomwa.

Kila mtanzania anamaumivu yake.
Albino wanatolewa sadaka,
wanafunzi wanafukuzwa shule.
Waalimu hawalipwi.
Wagonjwa mahospitali wanakufa kwa kukosa huduma.
Mafisadi wanatia kichefuchefu kila mtu.
Viongozi wako likizo huku wakituzomea na shida zetu.
Kazi hakuna.
Wasomi wanadharauliwa.
Wafanya biashara wazawa wanaoonekana nuksi.
Machinga kilio cha samaki.
Kila kona inahuzunika.
Kikwete kakumbatia washikaji na waliompeleka ikulu na fedha zao.
Wananchi tumekua wasindikizaji na macho ya huruma.
Vita gani tena tunasubiri, tupo vitani, kazi iliyobakia ni kupindua kitanda kila mtu alale chini.
wafanya biashara wanali
ardhi inaharibiwa (mazingira)
samaki wanaibiwa (magufuli)
mwanza mapanki
wakulima wanalia masoko na bei ya mbolea
barabara mbovu
foleni kibao dar
maji hakuna
shule za kata hovyo
mabango ya jk
kongwa inamegwa
yaani vilio tuu nchi njima
 
Usalama wa taifa wapo busy na kumrudisha mkulu ikulu....... Hao albino hata hivyo kama JK alivyowaambia watoto wa kike mashuleni wanaopata mimba kuwa ni viherehere vyao...who knows...labda JK atawaambia albino watumie mapanga,marungu, na ikibidi waunde sungusungu zao kujilinda.... maana vyombo official vya ulinzi na usalama viko busy kumrudisha madarakani, kuwalinda mafisadi...etc
 
Inflation ya Zimbabwe ni historia haipo tena kwani kwa sasa wanatumia US$ kwa hiyo Zimbabwe na USA ngoma droooo
 
Back
Top Bottom