Huyu nikupateje ni mamluki wa kutoka wapi?
Kwanza katika suala la mtu kupata kazi huwa hatuna budi kupongezana,pili hawa ni watanzania wenzetu wanahitaji kupewa moyo ili wakatekeleze majukumu yao ipasavyo wether yanainvolve tanzania au kokote kule but what matters most ni kufanya unachotakiwa kufanya ipasavyo kwani hii yaweza kuwa ni jumping step kwao kupewa higher positions
huyu jamaa anaonekana mevishwqa kasumba za kuami ni watanzania hawawezi vitu
toka zako hapa!!!
Kwanza katika suala la mtu kupata kazi huwa hatuna budi kupongezana,pili hawa ni watanzania wenzetu wanahitaji kupewa moyo ili wakatekeleze majukumu yao ipasavyo wether yanainvolve tanzania au kokote kule but what matters most ni kufanya unachotakiwa kufanya ipasavyo kwani hii yaweza kuwa ni jumping step kwao kupewa higher positions
huyu jamaa anaonekana mevishwqa kasumba za kuami ni watanzania hawawezi vitu
toka zako hapa!!!