Vicky Mtetema & Flora Nducha wa BBC Waula!

Vicky Mtetema & Flora Nducha wa BBC Waula!

Huyu nikupateje ni mamluki wa kutoka wapi?
Kwanza katika suala la mtu kupata kazi huwa hatuna budi kupongezana,pili hawa ni watanzania wenzetu wanahitaji kupewa moyo ili wakatekeleze majukumu yao ipasavyo wether yanainvolve tanzania au kokote kule but what matters most ni kufanya unachotakiwa kufanya ipasavyo kwani hii yaweza kuwa ni jumping step kwao kupewa higher positions
huyu jamaa anaonekana mevishwqa kasumba za kuami ni watanzania hawawezi vitu
toka zako hapa!!!
 
Huyu Nikupateje ni mamluki wa kutoka wapi?
Kwanza katika suala la mtu kupata kazi huwa hatuna budi kupongezana,pili hawa ni watanzania wenzetu wanahitaji kupewa moyo ili wakatekeleze majukumu yao ipasavyo wether yanainvolve tanzania au kokote kule but what matters most ni kufanya unachotakiwa kufanya ipasavyo kwani hii yaweza kuwa ni jumping step kwao kupewa higher positions
huyu jamaa anaonekana mevishwqa kasumba za kuami ni watanzania hawawezi vitu
toka zako hapa!!!

Nyinyi ndiyo wale ambao mlituona mamluki tuliposema barafu ya mlima Kilimajaro imepungua na huenda ikaisha. Mlileta hoja hafifu kama mnazoleta sasa mkisema tunapoteza pato la utalii.

Leo hii nyienyie ndiyo mnakimbizana Copenhagen (Sweden) kujifanya kushiriki climate change summit na sanasana mmetuletea msemo mpya wa kiswahili neno tabianchi.
 
Join Date: Tue Dec 2009
Posts: 3
Thanks: 1
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif

Karibu sana kijiweni, Nikupateje.
 
Join Date: Tue Dec 2009
Posts: 3
Thanks: 1
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif

Karibu sana kijiweni, Nikupateje.

Asante mkuu,
Hoja ya barafu ya mlima Kilimanjaro ilijadiliwa nchi nzima kabla hata JF haijazaliwa.
 
Tunawapa hongera wote hizo ni habari nzuri kuwa talent za Tanzania zinaonekana na kuthaminiwa nje. Probably wengine zaidi wako njiani kuanza.

Isipokuwa sikubaliani kuwa ni pigo kwa BBC, tofauti na mashirika ya kibongo, BBC ina-encourage career development - kwa hiyo watapata replacement na utashanga watakuwa wazuri vile vile. Jiulize kabla yao hapakuwa na BBC? Hiyo ni mentality ya kibongo, hakuna pigo babu, anatoka mtu anaingia mtu.
 
Nyinyi ndiyo wale ambao mlituona mamluki tuliposema barafu ya mlima Kilimajaro imepungua na huenda ikaisha. Mlileta hoja hafifu kama mnazoleta sasa mkisema tunapoteza pato la utalii.

Leo hii nyienyie ndiyo mnakimbizana Copenhagen (Sweden) kujifanya kushiriki climate change summit na sanasana mmetuletea msemo mpya wa kiswahili neno tabianchi.

Pumba tupu!
Au ndo style ya kuongeza posts?
 
Congatulations to the two ladies. mdau thanks for this important post
 
Mjaluo Laira Oginga alitushangaa akaja na mbinu ya kutubembeleza huku akijua weakness yetu akisema tusiwaogope Wakenya lakini hakufanikiwa kwani mliwaogopa kama ukoma wote walio hug hiyo idea.
Warundi na wanyarwanda pamoja na udogo wao waliwashangaa lakini kwa vile walitaka na wao wawemo hawathubutu kusema neno. Subiri quoram yao itimie miaka ijayo uone kama watawasubiri au kuwabembeleza.

Watawashiti na nyie mbaki mnapigizana kelele na wale wenzenu mnaopenda kuitana nyinyi ni nchi au siyo nchi.


Ndo kuonesha ufundi wako wa kukaa vijiweni na kwamba uko "INFORMED"????????? Why meandering like a river on a flood plain?


Nyinyi ndiyo wale ambao mlituona mamluki tuliposema barafu ya mlima Kilimajaro imepungua na huenda ikaisha. Mlileta hoja hafifu kama mnazoleta sasa mkisema tunapoteza pato la utalii.

Leo hii nyienyie ndiyo mnakimbizana Copenhagen (Sweden) kujifanya kushiriki climate change summit na sanasana mmetuletea msemo mpya wa kiswahili neno tabianchi.

You are completly jumping the gun MAN! Au ndo pre-maturity yako hapa JF. Speed yako ulokuja nayo inakuponza! Soma thread inahusu nini na uielewe, usikurupuke kama cha k****a!

Hapa JF ni sehemu ya kupashana habari na kuelimishana! Kuna breaking news, tetesi na kadha wa kadha! Nilipopata tetesi ya hawa madada kupata hizo nafasi (Japo unazibeza), nikaona si budi nizilete hapa jamvini1 Wengi wenye uelewa wamefurahia habari hizi na kuwapongeza madada hawa ikiwa ni pamoja na kunigongea THANKS kibao. Sasa sijui wewe na wenzako wenye mlengo mfanano mnaona gere ama?
 


Ndo kuonesha ufundi wako wa kukaa vijiweni na kwamba uko "INFORMED"????????? Why meandering like a river on a flood plain?




You are completly jumping the gun MAN! Au ndo pre-maturity yako hapa JF. Speed yako ulokuja nayo inakuponza! Soma thread inahusu nini na uielewe, usikurupuke kama cha k****a!

Hapa JF ni sehemu ya kupashana habari na kuelimishana! Kuna breaking news, tetesi na kadha wa kadha! Nilipopata tetesi ya hawa madada kupata hizo nafasi (Japo unazibeza), nikaona si budi nizilete hapa jamvini1 Wengi wenye uelewa wamefurahia habari hizi na kuwapongeza madada hawa ikiwa ni pamoja na kunigongea THANKS kibao. Sasa sijui wewe na wenzako wenye mlengo mfanano mnaona gere ama?


Mtu kujionyesha kwamba yuko informed hapa JF hailipi kwani 95% ya ID si majina halisi kama vile MjasiriamaliShupavu. Na kwa uhakika ni kwamba hakuna kitu kujionyesha uko informed. Aidha uko informed au hauko informed. Full stop.

Kudhani kwamba kuwa na post mbili kwenye JF ni immartulity ni kufikia kiwango cha juu cha immartulity kwani online forum duniani ziko maelfu kwa maelfu na anayeingia JF leo hujui ana uzoefu gani huko alikopitia.

Ungekuwa na uwezo wa kusoma thread yangu in depth na ukajua intention yake usingeishia hapo. Inawezekana ukaona nimeponda. Lakini je lengo langu kwa watanzania umeliona ni nini? Lengo langu ni tuwe competitive. Basi.

Wenzako wamelielewa lakini mmpo kama wewe hukuelewa. Nakupa mfano wa mwisho. Brazili inajulikana kuwa ni mahala pa kuchuma wachezaji bora? Katika Afrika pa kuchuma wachezaji ni Nigeria, Cameroon, Ghana nk.

Tanzania tuwaweke katika lipi? Je hili la hawa akina dada linaweza kuwapandisha chati kivile?

Mlima Kilimanjaro tu mmeshindwa kuutumia kwenye international competition hadi kudhaniwa kwamba uko Kenya.

Concern hii nikiiweka nilidhani utaijadili lakini kwa upeo wako unaona ni kujionyesha informed wakati kila mmoja analijua hilo.
 
Achaneni na huyo Nikupateje.

Yeye hana habari mkoa wa Iringa nao wanataka kuanzisha formu yao. Kwani wamechoka kupongezana kimyakimya mabinti zao wanapopata ajira ya kazi za ndani kule jijini Dar.

Wakati kule Iringa wanaitwa kwa majina yao kule Dar wanaongezewa jina "dada".

Bila shaka Iringa nao wataanzisha JF yao kuwapongeza halafu tuwaone watu kama Nikupateje wataruhusiwa kukanyaga mtandao ule na mawazo yao kama haya.
 
Kudhani kwamba kuwa na post mbili kwenye JF ni immartulity ni kufikia kiwango cha juu cha immartulity kwani online forum duniani ziko maelfu kwa maelfu na anayeingia JF leo hujui ana uzoefu gani huko alikopitia.

Nahisi unamaanisha blogspots ambazo hata mimi ninazo zaidi ya moja! Na juzi nimemfungulia Mwanangu, karibu uchangie pia!


Ungekuwa na uwezo wa kusoma thread yangu in depth na ukajua intention yake usingeishia hapo. Inawezekana ukaona nimeponda. Lakini je lengo langu kwa watanzania umeliona ni nini? Lengo langu ni tuwe competitive. Basi.


Nafikiri nilieleza mwanzo kwamba "hata mwenye chongo ana nafuu kwa kipofu"!

Sasa kama ni suala la watanzania kuwa competitive, huoni hawa atleast wamejitahidi japo kwa nafasio hizo walizopata? Au hata na zenyewe hazifai? After all, haikufanyika competition hapa, wamechaguliwa baada ya kuona wanafaa! Najua utasema etis Oh, Flora anajua Kiswahili so you expected it to go without saying, lakini je wanaojua Kiswahili wapo wangapi? Why not wewe au mimi?
 
Nahisi unamaanisha blogspots ambazo hata mimi ninazo zaidi ya moja! Na juzi nimemfungulia Mwanangu, karibu uchangie pia!
Nafikiri nilieleza mwanzo kwamba "hata mwenye chongo ana nafuu kwa kipofu"!
Sasa kama ni suala la watanzania kuwa competitive, huoni hawa atleast wamejitahidi japo kwa nafasio hizo walizopata? Au hata na zenyewe hazifai? After all, haikufanyika competition hapa, wamechaguliwa baada ya kuona wanafaa! Najua utasema etis Oh, Flora anajua Kiswahili so you expected it to go without saying, lakini je wanaojua Kiswahili wapo wangapi? Why not wewe au mimi?

Sina matatizo na blogu ya mwanao ambayo heunda sakafu ya server yake inasafishwa na kina "dada" wa Iringa ambao umeshangilia status yao.

Ni kweli ulisema mwenye chong ana nafuu. Lakini na mimi nilisema jamaa wote wanaojifanya wana maendeleo tuliwa-beat vyuoni. Tuliwatambia shuleni lakini mtaani wanatutambia. Hiyo akili wameitoa wapi?

Architecture tunayosoma ni ileile tunayowashinda University. Iweje tunaowashinda darasani waje kutujengea daraja la Mkapa wakati shuleni tulisoma wote principle za daraja zaidi hata ya la Mkapa.

Mimi sikubaliani na sababu zozote za kudhani Tanzania tuko kihivyo. Narudia tena na tena tunastahili nafasi kubwa tena za kitaalamu duniani. Hapo ndipo tunapotakiwa tuanzie.

Sikubaliani na nafasi mbili tatu kutonyesha wanatujali interational-wise wakati haohao siku zijazo watasema si kwa sababu mnajua kiswahili na maeneo ya umasikini.

Ni mtanzania mpuuzi tu ambaye hakumshangilia Profesa Tibaijuka. Leo unaona wanavyomfanya Tibaijuka kana kwamba hata uprofesa hana. Mama wa watu anaishia kulia moyoni na kuyakubali yaishe.

Je, walichomfanyia Tibaijuka wangeweza kukifanya kwa nchi inayojulikana ina wataalamu kibao katika international forum. Hata wangefanya tahadhai ingekuwa ni kubwa.

Kama hulioni hilo basi endelea kuniita mamluki na wala haitamsaidia yeyote. Kiwango cha elimu tulichosoma ndani na nje ya nchi hakipaswi kuwa tulipo kwamba tupewe pipi wakati wenzetu wanapewa helikopta katika uwanja uleule.

Inawezekana hapa ndipo ninapotofautina na ndiyo maana ninakuwa muangaliafu kushangilia. Najua tunanyanyasika na nilitegemea tujadili chanzo cha kunyanyasika huko.

Imefika mahala hata kazi za ndani ikitangazwa kwamba sasa tender zake zinatangazwa internatinaly tunatetemeka kama si kupiga kelele. Huoni kuna haja ya kulijadili hili kwa undani?
 
Sina matatizo na blogu ya mwanao ambayo heunda sakafu ya server yake inasafishwa na kina "dada" wa Iringa ambao umeshangilia status yao.

Ni kweli ulisema mwenye chong ana nafuu. Lakini na mimi nilisema jamaa wote wanaojifanya wana maendeleo tuliwa-beat vyuoni. Tuliwatambia shuleni lakini mtaani wanatutambia. Hiyo akili wameitoa wapi?

Architecture tunayosoma ni ileile tunayowashinda University. Iweje tunaowashinda darasani waje kutujengea daraja la Mkapa wakati shuleni tulisoma wote principle za daraja zaidi hata ya la Mkapa.

Mimi sikubaliani na sababu zozote za kudhani Tanzania tuko kihivyo. Narudia tena na tena tunastahili nafasi kubwa tena za kitaalamu duniani. Hapo ndipo tunapotakiwa tuanzie.

Sikubaliani na nafasi mbili tatu kutonyesha wanatujali interational-wise wakati haohao siku zijazo watasema si kwa sababu mnajua kiswahili na maeneo ya umasikini.

Ni mtanzania mpuuzi tu ambaye hakumshangilia Profesa Tibaijuka. Leo unaona wanavyomfanya Tibaijuka kana kwamba hata uprofesa hana. Mama wa watu anaishia kulia moyoni na kuyakubali yaishe.

Je, walichomfanyia Tibaijuka wangeweza kukifanya kwa nchi inayojulikana ina wataalamu kibao katika international forum. Hata wangefanya tahadhai ingekuwa ni kubwa.

Kama hulioni hilo basi endelea kuniita mamluki na wala haitamsaidia yeyote. Kiwango cha elimu tulichosoma ndani na nje ya nchi hakipaswi kuwa tulipo kwamba tupewe pipi wakati wenzetu wanapewa helikopta katika uwanja uleule.

Inawezekana hapa ndipo ninapotofautina na ndiyo maana ninakuwa muangaliafu kushangilia. Najua tunanyanyasika na nilitegemea tujadili chanzo cha kunyanyasika huko.

Imefika mahala hata kazi za ndani ikitangazwa kwamba sasa tender zake zinatangazwa internatinaly tunatetemeka kama si kupiga kelele. Huoni kuna haja ya kulijadili hili kwa undani?

Kuhusu suala la sisi tuko wapi kimataifa? Umasikini wetu, nafasi yetu na suala la Dr. Anna Kajumulo Tibaijuka, yote yalishajadiliwa hapa JF! Na hapa ndio utofauti wetu ulipo! Thread yetu hapa ilikuwa ni kuwapongeza hawa madada! Mijadala yako ni mipana mno na inahitaji separate thread otherwise you will keep jumping the gun, and if so I completly give you a cold shoulder and that's why I fail to get a long with you like a house on fire, despite of forcing a leopard to change its spot by giving me benefit of doubts like pinpointing Dr. Tibaijuka!
 
Kuhusu suala la sisi tuko wapi kimataifa? Umasikini wetu, nafasi yetu na suala la Dr. Anna Kajumulo Tibaijuka, yote yalishajadiliwa hapa JF! Na hapa ndio utofauti wetu ulipo! Thread yetu hapa ilikuwa ni kuwapongeza hawa madada! Mijadala yako ni mipana mno na inahitaji separate thread otherwise you will keep jumping the gun, and if so I completly give you a cold shoulder and that's why I fail to get a long with you like a house on fire, despite of forcing a leopard to change its spot by giving me benefit of doubts like pinpointing Dr. Tibaijuka!

Discussion of any matter does end the matter simply of it's repititive discussion. As long as the matter exist it will keep re-emerging at any opportunity based on its reality.

Contribution in JF comes from registerered member but there are inummerable number of viewers without membership.

Tungetaka kukuza thread in its dimension basi tungeujadili hata ufisadi ambao wewe mwenyewe umeutaja ulipoanzisha thread hii.

Kuna tetesi kwamba Vicky Mtetema kapata U-country Director wa shirika moja linaloshughulika na haki za Ma-ailbino - Under the Same Sun, lenye makao makuu nchini Canada!

Tetesi zaidi ni kwamba Flora Nducha kapata head office UN- New York kama UN Head of Information and Communication/Swahili.

Kama tetesi hizi ni kweli, bila shaka ni pigo kwa BBC kwani Vicky ndo alikuwa boss wa BBC Tanzania.

Hat hivyo hongereni akina mama mnaipaisha TZ yetu japo ufisadi ushatupaisha zaidi.

Concern zangu zilikaa kwenye blue wakati wengi purple. Hakuna aliyegusa concern ya red ambayo ni ufisadi. na vinginevyo thread yako ingekuwa too large to handle.

Sikujua kama mjadala wangu ungekuwa mpana maana nina kawaida ya kumdhani kila mmoja ana upeo mkubwa wa kuelewa na sikuwa na sababu ya kudhani otherwise.

anyway at least in this your last post there are some sign of realising the truth in my concerns and olny arguing where to place it rather than the failed effort to turn them into unreality.

Sasa si tushikane mkono kama ilivyo kawaida baada ya mabishano marefu!
 
Cheerz Nikupataje, mwenzio nakunywa Serengeti ya moto, tena ndogo bila glass (Siunajua glass zetu za uswazi)! Karibu jioni Nyamachabez Tegeta nitakuwa na Mpwa wangu Crispin! Nimependa challenge zako mkuu esp ulivyoidadavua thread yangu hapo mwishoni mwa post yako! Cheers once again!
 
Cheerz Nikupataje, mwenzio nakunywa Serengeti ya moto, tena ndogo bila glass (Siunajua glass zetu za uswazi)! Karibu jioni Nyamachabez Tegeta nitakuwa na Mpwa wangu Crispin! Nimependa challenge zako mkuu esp ulivyoidadavua thread yangu hapo mwishoni mwa post yako! Cheers once again!

Mkuu, Nitakutafuta mkuu. Mimi pia nimesikitika thread nilivyoeleweka. Labda nijilaumu kwamba timing yangu ilikuwa na walakini. Kwamba nilitakiwa nisubiri pongezi kwa hao kina dada ziishe halafu nililete hilo linalonikera. Na ni kweli linanikera na na halitaacha kunikera ni kweli ni pana.

Hongera dada zetu Nducha na Mtetema. Ningependa mpande zaidi ya hapo. Na unajua mnatakiwa kufanyaje? Fanyeni kama Diego Maradona.

Maradona alilaumiwa kwama kapendelewa na refa alipofunga bao la mkono. Ikamuuma kwamba ushindi ungelalamikiwa kuwa ni wa upendeleo. Hivyo yeye mwenye akaamua kuthibitisha kwamba Argentina haiishii na ushindi wa goli moja ambalo dunia nzima ingesema ni upendeleo. Kwa hasira kipindi cha pili aliamua kupiga chenga defence nzima ya England hadi kipa na akatumbukiza bao la pili. Akawa amefuta dhana ya upendeleo. Hivyo na nyinyi kazi kwenu. Mtaktana na majungu lakini dawa ya majungu ni ujasiri.

Hongereni sasa hivi na msituangushe baadaye. Lakini nyumba zenu huko majuu muwe mnaacha walau chumba kimoja cha wageni. Si mnazijua extended family zetu. Siku mojamoja kupiga hodi hamna mbaya.
 
Back
Top Bottom