Vicky Kamata: Rais Samia hawezi kutibu majeraha, viongozi wa dini wagange mioyo ya watu, wamejeruhiwa

Tena hovyo za kushangaza. Kuna watu wanasiasa wanatakaga kila awamu wao tu ndio watambe na beneficiaries zao. Ni frustrations za kutapeliwa ndoa, then kuolewa kama reserve ikifuatiwa na kutumumbuliwa ukuu wa hazina mume wake, then ikaja mumewe kunyimwa udhamini na serikali ya JPM.kufanya kazi AU aliyoihangaikia after kutumumbuliwa na kukosa uteuzi wa ndani ikapelekea mauti.

Bado Mjane akagombea jina likakatwa, na hakuna uteuzi afterwards kwa ivo VK ana hasira sana na kifua kimmejaa mengi. Hapo anatembelea mstarii ili SSH amkumbuke hata UDC kupitia huruma ya wanawake na maendeleo. La sivyo anajiandaa sijui jimbo gani sasa 2025 manake hakuna jimbo la mpinzani kama alivyodai kwenda Kibamba

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Alivyo na mdomo utafikiri ni msomi wa PhD kumbe muuza sura tu,ni mdangaji wa kawaida.
Anatumia turufu ya kumtukana JPM ili kupata teuzi.
 
Kwahiyo Vicky unachukulia JPM kufa ni kama adhabu? Huyu dada ana matatizo sana, watu wakianza kumchambua atavumilia? Si aendelee na maisha yake? Toka JPM amefariki ni vijembe tu!

Huyo JPM ukitoa wananchi waliomheshimu ana mke na watoto! Na vijembe vyako vinawafikia! Unataka tuhuma zako kwa JPM akujibu nani wakati unayemtuhumu hayupo? Jinga kabisa ...
 
Taja Kiongozi MMOJA TU wa America aliyewahi kuwa katili.
Tanzania inataka ukatili kama miaka 50 hivi kushape jamii.....binafsi naanza harakati za kuwa Rais wa hii nchi na nitakuwa Katili kuliko huyo mnayemsema muache kudekadeka...

Hili linchi lina WAPUMBAVU wengi wanaohitaji ukatili wa hali ya juu tena miaka za 50 hivi ili wakae sawa na jamii mpya ikija iwe ya watu wasiopenda upumbavu na ukijaribu upumbavu unakufa on the spot..

Hiyo ulaya na America mnayokimbilia iliwahi kuwa ma makatili kuliko huyu mnayemuita katili ( late JPM hakuwa katili aisee aliwapenda mno anahitajika katili kuliko yeye).... huko ulaya na america viliwahi kupita vizazi katili ndio maendeleo yakaja ya kweli sio hii sugar coating..

Leo hii Ulaya na America imeendelea na makatili wote wamekabi in back face kwa kazi fulani fulani za kikatili na huko front face imewekewa wanasiasa wanaotabasamu lakini ukatili unaendelea nyuma huko....Ndio waiRaq walinyonga Saadam, Walibya wakamuua Ghadafi, huu ni ukatili wa back stage wa hao mnaowaona wanademocracy...

Bila hii nchi kuwafanyia ukatili wapumbavu na mamia kwa maelfu wakapotea na kufa haiwezi siku kuja kuendelea kwa hayo tunayoita maendeleo ya kweli....
 
Mbona Nigeria, Congo, Equatorial Guinea, Uganda, Cameroon, Sudan, CAR, Liberia zimewahi kuwa na viongozi makatali kama wajukuu wa shetani na hazijafika popote?
Tanzania inataka ukatili kama miaka 50 hivi kushape jamii.....binafsi naanza harakati za kuwa Rais wa hii nchi na nitakuwa Katili kuliko huyo mnayemsema muache kudekadeka...

Hili linchi lina WAPUMBAVU wengi wanaohitaji ukatili wa hali ya juu tena miaka za 50 hivi ili wakae sawa na jamii mpya ikija iwe ya watu wasiopenda upumbavu na ukijaribu upumbavu unakufa on the spot..

Hiyo ulaya na America mnayokimbilia iliwahi kuwa ma makatili kuliko huyu mnayemuita katili ( late JPM hakuwa katili aisee aliwapenda mno anahitajika katili kuliko yeye).... huko ulaya na america viliwahi kupita vizazi katili ndio maendeleo yakaja ya kweli sio hii sugar coating..

Leo hii Ulaya na America imeendelea na makatili wote wamekabi in back face kwa kazi fulani fulani za kikatili na huko front face imewekewa wanasiasa wanaotabasamu lakini ukatili unaendelea nyuma huko....Ndio waiRaq walinyonga Saadam, Walibya wakamuua Ghadafi, huu ni ukatili wa back stage wa hao mnaowaona wanademocracy...

Bila hii nchi kuwafanyia ukatili wapumbavu na mamia kwa maelfu wakapotea na kufa haiwezi siku kuja kuendelea kwa hayo tunayoita maendeleo ya kweli....
 
Ambao hawakuunga tela walikuwa vichaa?
Sasa unafiki wake uko wapi kama alikuwa anaimba kumsifia mtu aliemshikia bunduki kichwani??

Mtu kama kashikikilia maslahi yako na unajua katili ..na kila mtu anamuimba apate nafuu why wewe usiunge tela?
 
johnthebaptist huyu sio mzee mgaya?
Kuna Mzee tunaishi nae mtaani. Huyu Mzee ni Kada maarufu wa CCM hapa mtaani kwetu. Kwa miaka mingi amekuwa mtetezi wa CCM. Hivi sasa Mzee yule kaamua kupiga kimya. Kilichomfanya awe mnyonge kwa Chama chake ni namna kinavyofanya maamuzi yake kwa sasa. Akatolea mf suala dogo la Wamachinga: Waliotoa ruhusa hata na kuwapatia vitambulisho ni CCM. Waliotoa tamko la kuwaondoa ni CCM ile ile. Sasa tunafuata ya Chama au mawazo ya mtu binafsi??

Mama ameonekana akijitahidi kuyaendeleza yale yote yaliyoasisiwa na mtangulizi wake lkn wakati huo huo akichomekea yakwake ili nae aweke alama kwenye Uongozi wake.

Amesema kitendo hiki kimefanya kuonekane Makundi makubwa ndani ya Chama. Yaani kundi la mwendazake linalowatetea Wamachinga.
Kundi la pili ni la Mama linalopingana na Wamachinga. Na kundi la tatu ni la Ndugai ambalo halina upande Bali wao wanasubiri mshindi wamuunge mkono.

Amesema kundi la Ndugai ndilo kundi baya mno kwani wao ndio wachochezi wa makundi yale mawili yenye nguvu. Yaani wanaliendesha kundi lao kwa siasa za kinafiki.

Kwa mtizamo huo kwangu mimi nakiona Chama changu kipo gizani. Hivyo acha niendelee kukaa kimya.

Swali langu ni Je kweli kuna haya makundi ndani ya CCM????
 
Mnafki sana huyu.Si aliwahi hadi kuimba bungeni wimbo wa kumsifu Magufuli. Kipindi anatafuta kura za maoni Kibamba kwenye poster zake si alikuwa anamsifia Magufuli ?.
Koma usimuhukumu Vicky" hata shetani alikuwa Malaika Mwema, Mbinguni akiimba na kusifu!

bidaye alimgeuka Mungu akitaka cheo chake, kwa hasira za Devil Malaika watakatifu wa Mungu walisoteshwa na shetani, wakala kichapo kisawsawa, akiwamo Yesu kristo pale kalvari aliipata, tena waliwahi kuishi wote mbinguni na huyu Bwana basi!

Yesu alipigwa mpaka akazimia pale Msalabani!... Uongo!! ... mpaka leo ana alama za Misumari, ukibisha akija utaziona! jua aliye mpa Yesu, kile kichapo waliwahi ishi wote mbinguni! walikula wote, walicheka!!! lkn Devil akampiga km hamjui!!!

Ukigeu geu! wa shetani, ndo sawa na Jiwe yeye hakujali ulimpigia kampeni! au la!, wala kumsaidia chochote! anakuumiza tu! km alivo babake devil! sasa jiulize Mungu hakujua? km mie muongo muulize Nape yaliyo mkuta tena mchana kweupeee!! mpaka kasahau njia!

pamoja na kupinda mkonowe, mpaka leo yule jamaa! mkono ni kibutu, January, Mzee kikwete! na wengine wengi jiwe hakujali utumishi wao kwa Umma! aliwaliza tu kwa furaha ya umaarufu wenu! au alitamani kuwaliza!

Mtu timamu Utampigaje mwenzio risasi mia tano jamani? atakunyaje huyo? Mkewe atampaje vitu? wkt naniiliu ni matobo matupu! kwani hayo yooote vicky hakuyaona?? yaani amtetee tu sababu alimuimbia? kwani shetani awali si aliimba na Malaika?

Kamata kuyasema haya inaonyesha ana akili timamu! kuliko...
 
upo sahihi,mi naona huu msemo wa duniani tunapita 7unatumiwa vibaya,jiwe alikuwa katili ndio na alijua atapita tu so kifo kisitumiwe kama kumsimanga mtu
ya jiwe yameisha watu wamuache tuendelee na mengine hata wakisema the Guy is no more na hasikii chochote
bora Lissu na kina Lema na Mbowe walimpa za uso akiwa hai na alizisikia,kusema mtu hayupo hakubadili chochote
kwa maisha yale? nasema! Jiwe hakufa anatumikia adhabu! Mungu si muongo!! aliwahi sema ''Kwa maana mshahara wa dhambi ni Mauti.............."" kwa kauli yako hii tukuamini wewe aua Mungu?
 
Mtu akiwa ni Rais, hata kama zamani alikuwa ni rafiki yako, huwezi kwenye Public ukasema ni rafiki yako. Rais ni mtu mkubwa na ni Public Figure. Ni wapuuzi tu ambao wanaweza ku misuse jina lake in Public. Namaanisha Mareheme Likwe
Kolola ni msemo unao fanana na kigari kidogo cha kupandwa na abiria wanne!! kinakaliwa kinajambiwa! Yesu na Manabii! !walishakufa kitambo sana , ..... leo mbona tunasema Yesu Rafiki wa moyo wangu?............acha hawa wa juzi juzi! bado tuna kumbukizi! umelewa au...
 
Hakumpindua mwanamke yeyote. Marehemu Likwelike aliachana na mkewe wa ndoa kwa talaka. Akaoa mwanamke mwingine. Yule mwanamke Mwingine alifariki kwa ugonjwa wa Cancer. Akaishi miaka kadhaa bila mke na ndiyo akaja kumuoa Vicky Kamata.
Kifupi hata watoto wa mke mkubwa waliyeachana ( ambaye naye ni marehemu kwa sasa) wanampenda Vicky Sana na siku Wana muaga Baba Yao waliweka wazi na kumsifu mno Vicky.

Taarifa sahihi ni muhimu mno.
Watu wanajiokotezea tu tu taarifa then wanatambaa nazo ilimradi tu wamchafue yule alieongea wasichopenda kusikia.
 
Tena hovyo za kushangaza. Kuna watu wanasiasa wanatakaga kila awamu wao tu ndio watambe na beneficiaries zao. Ni frustrations za kutapeliwa ndoa, then kuolewa kama reserve ikifuatiwa na kutumumbuliwa ukuu wa hazina mume wake, then ikaja mumewe kunyimwa udhamini na serikali ya JPM.kufanya kazi AU aliyoihangaikia after kutumumbuliwa na kukosa uteuzi wa ndani ikapelekea mauti.

Bado Mjane akagombea jina likakatwa, na hakuna uteuzi afterwards kwa ivo VK ana hasira sana na kifua kimmejaa mengi. Hapo anatembelea mstarii ili SSH amkumbuke hata UDC kupitia huruma ya wanawake na maendeleo. La sivyo anajiandaa sijui jimbo gani sasa 2025 manake hakuna jimbo la mpinzani kama alivyodai kwenda Kibamba

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Umesema vidhuri!!!! sasa kwa nini amnyime mwenzake ulaji? tena kote kote? ?? kwani mshahara wa AU una mpunguzia nini jiwe? km siyo roho mbaya tu? kwanza amejitahidi kuomba!! amekubaliwa wewe rais na mihela yoote hiyo unambania! sasa kwa nini usife?
 
Kolola ni msemo unao fanana na kigari kidogo cha kupandwa na abiria wanne!! kinakaliwa kinajambiwa! Yesu na Manabii! !walishakufa kitambo sana , ..... leo mbona tunasema Yesu Rafiki wa moyo wangu?............acha hawa wa juzi juzi! bado tuna kumbukizi! umelewa au...
Kama hukunielewa basi unaniaminisha kuwa kweli umelewa
 
Membe aliekosoa yeye si binadamu ?
Yeye Membe si mtu, ni TISS!! mkongwe!! hawaguswagi kiukweli wale hee! ila wamefunzwa kucheza michezo kama yoote! km Mlema si huyo hapo kayumbisha sirikali weeee!! wajinga wakamfuata! anakula na kuponya mpaka kesho na Vunjo kashusha ghorofa saba!
 
Hagahahaha hawa malaya hawaa. Ikaishiahe. Kwahiyo amekwamaaa. Maamaaeee
Mamamaeeee. Makahaba haya. Hv hawa malaya huwa wanafikiria nn

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Nyani haoni kundule wewe unavopigana miti na kuku!! sometimes punda siyo malaya? Unajua starehe ya mzazi wako wa kiume? ni ipi? au weye ulitokaje km siyo mtu kuinamishwa tena bafuni faster!! .......... basi omba msamaha uwe salama kenge weee! ndudezile zina laana mbaya!
 
Back
Top Bottom