Alivyo na mdomo utafikiri ni msomi wa PhD kumbe muuza sura tu,ni mdangaji wa kawaida.Tena hovyo za kushangaza. Kuna watu wanasiasa wanatakaga kila awamu wao tu ndio watambe na beneficiaries zao. Ni frustrations za kutapeliwa ndoa, then kuolewa kama reserve ikifuatiwa na kutumumbuliwa ukuu wa hazina mume wake, then ikaja mumewe kunyimwa udhamini na serikali ya JPM.kufanya kazi AU aliyoihangaikia after kutumumbuliwa na kukosa uteuzi wa ndani ikapelekea mauti.
Bado Mjane akagombea jina likakatwa, na hakuna uteuzi afterwards kwa ivo VK ana hasira sana na kifua kimmejaa mengi. Hapo anatembelea mstarii ili SSH amkumbuke hata UDC kupitia huruma ya wanawake na maendeleo. La sivyo anajiandaa sijui jimbo gani sasa 2025 manake hakuna jimbo la mpinzani kama alivyodai kwenda Kibamba
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Anatumia turufu ya kumtukana JPM ili kupata teuzi.