Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,936
- 6,846
Ulichoandika kilijikita zaidi kwenye surname na sio haki ya huyo mtoto kurithi mali za marehemu. Mara nyingi huwa tunawa treat watoto wa kufikia kama wale tuliozaa wenyewe lakini ukweli mchungu ni kuwa bila kuuweka uhusiano huo kisheria au kumwingiza kimaandishi katika mirathi ( kitu ambacho mahakama zetu ni wepesi kuzikana kwa kuamini zaidi uzaliwa wa damu) inakuwa imekula kwa mtoto. Hata kama mtoto wa kufikia ndie aliyekuwa karibu zaidi na kumhudumia zaidi marehemu.Hapa swala siyo hiyo Sir Name,point hapa ni kung’ang’ania mtoto wake apewe urithi sawa na watoto wa Marehemu,wakati hakuna uthibitisho wowote kuwa Marehemu aridhia mtoto huyo apewe urithi kama mtoto halali wa Marehemu
Amandla..