Uonevu hukumu ya Mahakama dhidi ya Vicky Kamata kuhusu mirathi ya mumewe, Dkt. Likwelile

dubu

JF-Expert Member
Oct 18, 2011
3,496
3,461
Kuna jambo moja sijui iwapo watu wengi wanalijua.

Binafsi tulifahamiana na Dr. Servacius Likwelile (RIP) mwanzoni kabisa mwa 1990's (ninadhani 1991) wakati akifundisha Industrial Economics UDSM, akiwa na Masters na akisoma PhD.

VICK SLIDER .jpg


Kuna wakati, mwishoni mwa 1990's, Dr. Likwelile alifulia, mke wake wa ndoa aka-riot, hata Dr. Likwelile alihama nyumbani na kuja kupanga makazi maeneo ya Riverside, Ubungo, akiwa analewa sana pale Riverside Bar maarufu ya Bwana Mrema.

Ilifika wakati kwa tuliofahamiana naye, ukifika pale unam-bypass asikuone maana yeye pamoja na Prof. mmoja wa history miaka hiyo pale UDSM walikuwa wanalewa sana, wakizungukwa na ma-barmaids mpaka wanakera.

NDOA YA KAMATA - 1.jpg


Maisha ya Dr. Likwelile yalianza kubadilika tena miaka ya mwanzo ya 2000 (2002/3?) alipoteuliwa kuwa CEO wa TASAF.

Ninakumbuka jioni moja nilipokutana naye pale Riverside Bar akanipatia business card yake kuashiria amepata kazi mpya TASAF huku akinisihi nikimtembelea huko ofisi mpya, niwe 'makini' - alikuwa ameanza mkakati wa kufuta historia.

Mwaka 2004 tulikutana tena na Dr. Likwelile Harare, Zimbabwe alipoalikuwa amealikwa kwenye regional workshop iliyoandaliwa na Mtandao wa AFRODAD ambapo mimi nilikuwa ninawasilisha report ya utafiti kuhusu deni la taifa (Tanzania) nikiwa Tanzania country researcher wa Afrodad.

Ninakumbuka kuna wakati Dr. Likwelile aliniambia watoto wao walikuwa wanasoma Malawi na concern yake ilikuwa watoto hao kudhuriwa na ugomvi kati yake na mkewe, ambaye baadaye alikuja kufariki.

Dr. Likwelile baadaye alikuja kuteuliwa Naibu Katibu Mkuu, na kisha Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango ya Uchumi (MOFEA).

FB_IMG_1695383787204.jpg


Sijui lini alikuja kuoana na Vicky Kamata, lakini ninakumbuka 2018 nilikutana na Dr. Likwelile akiwa na mkewe Vicky Kamata na binti yao (umri kama miaka 4 hivi) nikiwa kwenye matibabu pale Regency Hospital akanitambulisha kwa mkewe, nikimwambia kutojali mambo ya siasa za Magufuli (alikuwa ameanchishwa/fukuzwa kazi unceremonoiusly) na kumshauri arudi kufundisha UDSM.

Sikupata taarifa zake tena hadi alipofariki kwa COVID 19 2021 kama miezi 6 hivi baada ya serikali ya Magufuli kumuwekea ngumu asiajiriwe na Economic Commission for Africa (ECA), yeye na [Balozi?]Mama Mulamula.

Nimeandika yote haya kubainisha unfairness ya hukumu ya mahakama dhidi ya Vicky Kamata kuhusu mirathi ya mumewe, Dr. Servacius Likwelile.

Aidha, hatuwezi kumlaumu Dr. Likwelile kutokuandika wosia kwa kuwa kifo chake (COVID 19) kilikuwa cha ghafla. Mashirika kama @TAWLA, @WLAC, @TLS, @THRDC au @LHRC hayapaswi kuwa wanafiki. Wamsaidie Vicky Kamata apate haki zake za mirathi ya marehemu mume wake.
 
Umesema kwamba mkewe wa kwanza wa ndoa alifariki.

Je kabla ya kufunga ndoa na Vicky hakuoa tena.

Maana hukutoa maelezo kama unafahamu uwepo wa ndoa nyingine na kuna muda umepita toka kufariki mke wa kwanza na ndoa na vicky na kufariki mke wa kwanza na wewe na yeye kukutana akiwa na vicky.
 
Kuna jambo moja sijui iwapo watu wengi wanalijua.

Binafsi tulifahamiana na Dr. Servacius Likwelile (RIP) mwanzoni kabisa mwa 1990's (ninadhani 1991) wakati akifundisha Industrial Economics UDSM, akiwa na Masters na akisoma PhD.

View attachment 2758355

Kuna wakati, mwishoni mwa 1990's, Dr. Likwelile alifulia, mke wake wa ndoa aka-riot, hata Dr. Likwelile alihama nyumbani na kuja kupanga makazi maeneo ya Riverside, Ubungo, akiwa analewa sana pale Riverside Bar maarufu ya Bwana Mrema.

Ilifika wakati kwa tuliofahamiana naye, ukifika pale unam-bypass asikuone maana yeye pamoja na Prof. mmoja wa history miaka hiyo pale UDSM walikuwa wanalewa sana, wakizungukwa na ma-barmaids mpaka wanakera.

View attachment 2758356

Maisha ya Dr. Likwelile yalianza kubadilika tena miaka ya mwanzo ya 2000 (2002/3?) alipoteuliwa kuwa CEO wa TASAF.

Ninakumbuka jioni moja nilipokutana naye pale Riverside Bar akanipatia business card yake kuashiria amepata kazi mpya TASAF huku akinisihi nikimtembelea huko ofisi mpya, niwe 'makini' - alikuwa ameanza mkakati wa kufuta historia.

Mwaka 2004 tulikutana tena na Dr. Likwelile Harare, Zimbabwe alipoalikuwa amealikwa kwenye regional workshop iliyoandaliwa na Mtandao wa AFRODAD ambapo mimi nilikuwa ninawasilisha report ya utafiti kuhusu deni la taifa (Tanzania) nikiwa Tanzania country researcher wa Afrodad.

Ninakumbuka kuna wakati Dr. Likwelile aliniambia watoto wao walikuwa wanasoma Malawi na concern yake ilikuwa watoto hao kudhuriwa na ugomvi kati yake na mkewe, ambaye baadaye alikuja kufariki.

Dr. Likwelile baadaye alikuja kuteuliwa Naibu Katibu Mkuu, na kisha Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango ya Uchumi (MOFEA).

View attachment 2758357

Sijui lini alikuja kuoana na Vicky Kamata, lakini ninakumbuka 2018 nilikutana na Dr. Likwelile akiwa na mkewe Vicky Kamata na binti yao (umri kama miaka 4 hivi) nikiwa kwenye matibabu pale Regency Hospital akanitambulisha kwa mkewe, nikimwambia kutojali mambo ya siasa za Magufuli (alikuwa ameanchishwa/fukuzwa kazi unceremonoiusly) na kumshauri arudi kufundisha UDSM.

Sikupata taarifa zake tena hadi alipofariki kwa COVID 19 2021 kama miezi 6 hivi baada ya serikali ya Magufuli kumuwekea ngumu asiajiriwe na Economic Commission for Africa (ECA), yeye na [Balozi?]Mama Mulamula.

Nimeandika yote haya kubainisha unfairness ya hukumu ya mahakama dhidi ya Vicky Kamata kuhusu mirathi ya mumewe, Dr. Servacius Likwelile.

Aidha, hatuwezi kumlaumu Dr. Likwelile kutokuandika wosia kwa kuwa kifo chake (COVID 19) kilikuwa cha ghafla. Mashirika kama @TAWLA, @WLAC, @TLS, @THRDC au @LHRC hayapaswi kuwa wanafiki. Wamsaidie Vicky Kamata apate haki zake za mirathi ya marehemu mume wake.
Naona kuna kitu ulitaka kuongea, either umesahau kukiongea au umekidondosha mahala.
 
Kuna jambo moja sijui iwapo watu wengi wanalijua.

Binafsi tulifahamiana na Dr. Servacius Likwelile (RIP) mwanzoni kabisa mwa 1990's (ninadhani 1991) wakati akifundisha Industrial Economics UDSM, akiwa na Masters na akisoma PhD.

View attachment 2758355

Kuna wakati, mwishoni mwa 1990's, Dr. Likwelile alifulia, mke wake wa ndoa aka-riot, hata Dr. Likwelile alihama nyumbani na kuja kupanga makazi maeneo ya Riverside, Ubungo, akiwa analewa sana pale Riverside Bar maarufu ya Bwana Mrema.

Ilifika wakati kwa tuliofahamiana naye, ukifika pale unam-bypass asikuone maana yeye pamoja na Prof. mmoja wa history miaka hiyo pale UDSM walikuwa wanalewa sana, wakizungukwa na ma-barmaids mpaka wanakera.

View attachment 2758356

Maisha ya Dr. Likwelile yalianza kubadilika tena miaka ya mwanzo ya 2000 (2002/3?) alipoteuliwa kuwa CEO wa TASAF.

Ninakumbuka jioni moja nilipokutana naye pale Riverside Bar akanipatia business card yake kuashiria amepata kazi mpya TASAF huku akinisihi nikimtembelea huko ofisi mpya, niwe 'makini' - alikuwa ameanza mkakati wa kufuta historia.

Mwaka 2004 tulikutana tena na Dr. Likwelile Harare, Zimbabwe alipoalikuwa amealikwa kwenye regional workshop iliyoandaliwa na Mtandao wa AFRODAD ambapo mimi nilikuwa ninawasilisha report ya utafiti kuhusu deni la taifa (Tanzania) nikiwa Tanzania country researcher wa Afrodad.

Ninakumbuka kuna wakati Dr. Likwelile aliniambia watoto wao walikuwa wanasoma Malawi na concern yake ilikuwa watoto hao kudhuriwa na ugomvi kati yake na mkewe, ambaye baadaye alikuja kufariki.

Dr. Likwelile baadaye alikuja kuteuliwa Naibu Katibu Mkuu, na kisha Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango ya Uchumi (MOFEA).

View attachment 2758357

Sijui lini alikuja kuoana na Vicky Kamata, lakini ninakumbuka 2018 nilikutana na Dr. Likwelile akiwa na mkewe Vicky Kamata na binti yao (umri kama miaka 4 hivi) nikiwa kwenye matibabu pale Regency Hospital akanitambulisha kwa mkewe, nikimwambia kutojali mambo ya siasa za Magufuli (alikuwa ameanchishwa/fukuzwa kazi unceremonoiusly) na kumshauri arudi kufundisha UDSM.

Sikupata taarifa zake tena hadi alipofariki kwa COVID 19 2021 kama miezi 6 hivi baada ya serikali ya Magufuli kumuwekea ngumu asiajiriwe na Economic Commission for Africa (ECA), yeye na [Balozi?]Mama Mulamula.

Nimeandika yote haya kubainisha unfairness ya hukumu ya mahakama dhidi ya Vicky Kamata kuhusu mirathi ya mumewe, Dr. Servacius Likwelile.

Aidha, hatuwezi kumlaumu Dr. Likwelile kutokuandika wosia kwa kuwa kifo chake (COVID 19) kilikuwa cha ghafla. Mashirika kama @TAWLA, @WLAC, @TLS, @THRDC au @LHRC hayapaswi kuwa wanafiki. Wamsaidie Vicky Kamata apate haki zake za mirathi ya marehemu mume wake.
Au wewe ni Vick Kamata?
 
1990 ulikuwa mtu mzima lakini bado una akili za hivi mkuu? rika lenu itakuwa mlikuwa mnahonga sn, mke wa ndoa kafariki 2020 mahakama ikasema Vicky siyo mke halali wewe unalazimisha, ulitaka mali za marehemu watoto wake wakose apewe Vicky zote? amekuwa Mbunge kwa 10 years alishindwa nini kuwekeza?
Kisheria ndoa ya kwanza ingefutika endapo kungetokea kifo cha mke wa kwanza au angetalikiana naye rasmi kabla ya kumwoa Vicky. Alipokuwa anamwoa Vicky 2016 mkewe wa kwanza alikuwa bado yuko hai na alikuwa hajatalikiana naye kisheria. Hakuwa na cheti cha talaka kinachofuta cheti cha ndoa ya kwanza. Na kwa mujibu wa Vicky, pia alikuwa na masuria (michepuko) wengi.
 
Sawa mkuu....

Mke wake wa kwanza yuko wapi ?!!

Alihitimishana naye kisheria?!!!
Mke wa kwanza wa Likwelile akiitwa Mary Ibrahim ambae alifariki 2020. Baada ya hapo akiwa anafundisha UDSM idara ya uchumi akakutana na Secretary wa Idara yao ya uchumi akiitwa MBEYE ambaye alizaa nae watoto kabla ya nae kupatwa na umauti. Huyu Mbeye alikuwa na nyumba sehemu za Tegeta Nyaishozi. Sina uhakika alizaa nae watoto wangapi na sina uhakika kama alifunga nae ndoa. MARY IBRAHIMA WAS NOT OFFICIALLY DIVORCED FROM LIKWELILE!!!
 
Mke wa kwanza wa Likwelile akiitwa Mary Ibrahim ambae alifariki 2020. Baada ya hapo akiwa anafundisha UDSM idara ya uchumi akakutana na Secretary wa Idara yao ya uchumi akiitwa MBEYE amabye alizaa nae watoto kabla ya nae kupatwa na umauti. Huyu Mbeye alikuwa na nyumba sehemu za Tegeta Nyaishozi. Sina uhakika nalizaa nae watoto wangapi na sina uhakika kama alifunga nae ndoa. MARY IBRAHIMA WAS NOT OFFICIALLY DIVORCED FROM LILKWELILE!!!
 
Kisheria ndoa ya kwanza ingefutika endapo kungetokea kifo cha mke wa kwanza au angetalikiana naye rasmi kabla ya kumwoa Vicky. Alipokuwa anamwoa Vicky 2016 mkewe wa kwanza alikuwa bado yuko hai na alikuwa hajatalikiana naye kisheria. Hakuwa na cheti cha talaka kinachofuta cheti cha ndoa ya kwanza. Na kwa mujibu wa Vicky, pia alikuwa na masuria (michepuko) wengi.
Hapo ndipo palipo na hoja....

Ndoa ya Vicky ni 2016....

Kongole kamarada Gwappo
 
Back
Top Bottom