mtanzaniawaukweli
New Member
- Feb 5, 2012
- 4
- 0
Jamani, mwachen aseme yaliyo moyoni mwake, kwa kauli hii amewaaibisha wanawake wengi
Vick kamata = faiza fox???
Kumbe ni wimbo?!
Nilidhani Status ya FB!Ulidhani nini!shairi?
mkuu kumbe na wewe umestukia?kama ni hivyo basi watu wanaumwa na mengi siyo sumu pekee
Kapangiwa nyumba na mwandosya huyo mjini dodoma.
Nkuhungu.
Wala hatusumbui,anajulikana kuwa ni mgawaji mzuri.
Kwa hiyo Vicky Kamata anawaambia watanzania kuwa kapata ubunge kupitia ndoa (na nani?). Na anaposema 'tumeolewa" anamaanisha yeye na nani? Sina hakika kama huyu mwanamama anajua maana ya hii statement aliyotoa. It is bad bad bad bad Vicky. Inakushushia hadhi kabisa mama! unaweza ukawa umewaaibisha na wabunge wenzako vijana (wa kike) toka ccm! Very bad!
Mkubwa nielezee vizuri! Jamaa mbona anachakula mingi?
Kweli vipindi vya uongozi vimewahi kuwepo Tz lakini hii awamu ya ****** haitasahaulika hasa kwa upatikanaji wa wabunge jamii ya kamata. Mungu utuponye na viongozi wazinzi!!
Kapangiwa nyumba na mwandosya huyo mjini dodoma.
Nkuhungu.
Wala hatusumbui,anajulikana kuwa ni mgawaji mzuri.
Huyu Malaya hakika ametutukania Dada na Mama zetu.
Hivi nyie mliosomea sheria hamuwezi kutusaidia kwa hili?
Aburuzwe mahakamani aone kama kuvua chupi alikokuzoea kutamsaidia!
Ndo maana Mwandosya anaumwa? maana JK naye kwa visasi akiliwa mali zake.
iyo ni ngoma yake mzee wa kaya.