Vick kamata = faiza fox???
Haapana, chama kimoja dini tofauti.
Vick kamata = faiza fox???
Mkuu hajasoma BBA, alianza na Cheti cha Uandishi wa habari, baadaye akachukua ADJ-Advanced Diploma in Journalism, kama ni huyu ninayemfahamu mie.chakula huyo dada mimi namjua nimemalza nae SAUT BBA, GPA alikuwa nayo ni mbovu lakini direct alipata kazi Bank of tz(BOT) Kabla ya kupewa vt maalumu.
you might be right.
Kumbe ni wimbo?!
Big up kwa kusema ukweli!ana janaba za jana usiku!akaoshe janaba kwanza!idiøt
Atukome.kaolewa yeye.aliona madaftari mazito,anavyotumia uchi kujinufaisha anafikiri kila mwanamke yuko vile!vick kamata,koma kabisa!umeolewa wewe c kila mwanamke.endelea kuwachanganya uvune vizuri unachopanda
yani huyu mwanamke ni mwehu kweli, haiwezekani mtu mzima mwenye akili timamu akaongea/ akaimba upumbavu huo mbele za watu hata kama anaipenda ccm kiasi gani, kuifananisha CCM na MUME ni ukosefu wa akili, naipenda CHADEMA SANA ILA SIWEZI KUSEMA CHADEMA NI MUME WANGU HATA SIKU 1.
kauli mbovu. huyo dada kavuta bange nini?