Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,450
- 12,316
Mkuu mpaka sasa meno na kucha zako zipo salama? Yaani ulikuavunamuweka Mukulu speaker? Hahahaaaa! Sipati picha Mukulu anavyobembeleza
aka muulize babu seya yaliyo mkuta.
Mkuu mpaka sasa meno na kucha zako zipo salama? Yaani ulikuavunamuweka Mukulu speaker? Hahahaaaa! Sipati picha Mukulu anavyobembeleza
so Mwa...sya anachepuka? anajipenda mkuu wa kaya atam-babuseyaKapangiwa nyumba na mwandosya huyo mjini dodoma.
Nkuhungu.
Wala hatusumbui,anajulikana kuwa ni mgawaji mzuri.
Mama anagawa papuchi huyuuu.....ptuuuuh
so Mwa...sya anachepuka? anajipenda mkuu wa kaya atam-babuseya
by jisanja;
2008 hadi mwanzoni mwa 2010. Nikiwa nafanya post doc Glasgow, nilijikuta ninamahusiano mabaya na Vicky K. Yes alikuwa Southampton Solent University akifanya Masters ambayo alifail. Kila Wiki alikuwa akija Glasgow. Nilimweleza nimeowa hapa tunapashana moto. Bint alichanganyikiwa mno ... mara kadhaa Kikwete alimpigia simu tumemchezea sana raisi ndiye aliyelipa fees. Mara nyingi tulimweka kwa spika. Alirudi bongo akawa mbunge. Nilijichomoa kwake nilirudi bongo 2011 mwishoni yeye akawa na mahusiano bado na Kikwete na Eliakim Maswi. Alikuwa na pesa nyingi mno amewahi kunikutanisha na Chenge, Ngereja, Cheyo sehemu fulani Dar wakanisihi nikiwa na kadi ya CCM nitapewa ukatibu mkuu. Niliwajibu kisukuma nafsi yangu itanihukumu. VK amejitahidi nivunje ndoa niligoma nampenda mama mch yeye mchepuko. Tukakubaliana tuwe 2012 marafiki alinichukia mno mno. Ndoa kwake ni kitu anachokithamini sana. Anawatoto 2 Levo 16 yrs na Glory 5 yrs huyu ni wa Kikwete. Hii harusi amenitahidi mno Pinda hata Makinda wamelazimisha paroko nusu aingie kingi uongozi wa juu ulipozinasa ndoa isifunginge. Vicky nilimpima ngoma ndiyo maana nawaambiaga JK liko lizima.
Mkuu asante,
cc ritz
Konda wa basi la UDA, Mbagala - Kariakoo
acha bange madhara yameshaanza kujitokeza.