Vicky Kamata: Mageuzi usiniguse tumeolewa na CCM

Vicky Kamata: Mageuzi usiniguse tumeolewa na CCM

analiwa na jamaa yetu???tukubali kuto kuballiana

Fuatilia historia toka kutoka nyegezi/now Saint August chuoni, ajira BOT na masomoni UK na kisha ubunge viti maalumu na ulinganishe na huo wimbo ndiyo utajua chakula ya nani!
 
Vicky Kamata hana shule yoyote nadhani ni darasa la saba au form four failure isipokuwa ni mwanamziki aliyewahi kutunga wimbo mmoja au mbili lakini mmoja ulivuma anga kwenye harakati za wanawake wimbo wa WANAWAKE NA MAENDELEO,from then akadhani anaweza kuwa politician by being cheap to politicians and boot leaking ,ndio hivyo maisha ni kujaribu
 
@ HABARINI ZA MCHANA

VICKY KAMATA

Mageuzi usiniguse tumeolewa,na ccm,mme bora mtanashati

anayejua kazi,ninakupenda sana mageuzi,upinzan ,usinishike ,unashombo

JE WANTANZANIA MMEOLEWA NA CCM NA NI MME WENU

BORA !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Oooops, Absurdity!
 
Disgusting..have never liked her songs including her famous "wanawake na maendeleo". If those are the words in her song then she must be affected bodily mentally and morally with her affair with "mfalme aliyemsamehe kwa kuiba kuku".

She needs councilling. People why are we having these kinds as leaders?
 
Kwa hiyo Vicky Kamata anawaambia watanzania kuwa kapata ubunge kupitia ndoa (na nani?). Na anaposema 'tumeolewa" anamaanisha yeye na nani? Sina hakika kama huyu mwanamama anajua maana ya hii statement aliyotoa. It is bad bad bad bad Vicky. Inakushushia hadhi kabisa mama! unaweza ukawa umewaaibisha na wabunge wenzako vijana (wa kike) toka ccm! Very bad!
Ebo!! anahadhi gani huyo chakula ya usiku ya wazee...
 
Vic mbona mimi hujawahikuniletea mambo wakati na mimi ni ccm!!!!!??????????????lete tukule kama kweli tumekuoa nungaembe wewe.
 
Vicky Kamata hana shule yoyote nadhani ni darasa la saba au form four failure isipokuwa ni mwanamziki aliyewahi kutunga wimbo mmoja au mbili lakini mmoja ulivuma anga kwenye harakati za wanawake wimbo wa WANAWAKE NA MAENDELEO,from then akadhani anaweza kuwa politician by being cheap to politicians and boot leaking ,ndio hivyo maisha ni kujaribu


kwa swala la shule umedanganya bana kasoma St.Ag University Mwanza baada ya hapo ..akapelekwa nje kusoma :wink2:
 
Kwa hiyo Vicky Kamata anawaambia watanzania kuwa kapata ubunge kupitia ndoa (na nani?). Na anaposema 'tumeolewa" anamaanisha yeye na nani? Sina hakika kama huyu mwanamama anajua maana ya hii statement aliyotoa. It is bad bad bad bad Vicky. Inakushushia hadhi kabisa mama! unaweza ukawa umewaaibisha na wabunge wenzako vijana (wa kike) toka ccm! Very bad!
mkuu ulimlaani mno!
 
Aiseee! !!!!!

Kweli heshima ni kitu muhimu sana akija soma hapa aweza kata moto.ghafla
 
Back
Top Bottom