Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
Wanawake kama huyu bibi ndio wanatufanya wanawake tudharaulike kila tunakoenda!
Anasifia nini huyu? Kama kaolewa na huyo mme wake mtanashati, sisi inatuhusu vipi?
Atuondoleee shombo na janaba hapa!
Anasifia nini huyu? Kama kaolewa na huyo mme wake mtanashati, sisi inatuhusu vipi?
Atuondoleee shombo na janaba hapa!