Vick Kamata: Utajiri hu unahitaji maelezo ya ziada

Vick Kamata: Utajiri hu unahitaji maelezo ya ziada

Anapewa na mtu wake.Miunga haiko mbali. Ukiwa na hela za kusotea huwezi nunua magari 4 ya kutembelea.
 
Mtoa mada usikuze vitu kumharibia huyu mama. X5 unaipata kwa m hamsini. Alteeza m nane. voxy kila mtu anajua yanauzwa kwa mafungu. Isitoshe mwenyewe umekiri huyu mama anasomesha watoto kibao maskini. Niambie kuna mbunge mwingine anafanya hivyo ? VK ana mgody big up VK. raha ya wa tz ninkuona migodi ikimilikiwa na wageni. mwanamama ameonyesha njia kwamba hata mtu aliyeyoka familia duni anaweza. Hivi. ngoja niulize kila mwanamke akifanikiwa lazima awe kitu ya mzee fulani ? Rwakatare nae ni kitu ya mzee fulani ? pigeni kazi acheni mambo ya kike. mtoa mada hapo ulipo hujawahi kumsaidia mtu hata siku moja.
 
Tanzania tanzania nakupendaaa kwa moyo woteeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Kijana naona sasa unataka kuvaa koti la baba yako, yaani unafuatilia maisha ya nyumba ndogo ya naniiii wa pale mago???

Mi nampongeza Vicky kwa kutumia fursa. TRA wamfuate sasa wampe EFD ili arudishe haki ya watanzania kupitia kodi...
 
- punguzeni siasa za makengeza sugu na huyu dada wote walikuwa wanamuziki ni sawa kabisa kuwa na huo utajiri walionao!!

Le mutuz

wee mshkaji mie nilikuwa nakuona bonge la mtu kumbe sehemu ya nyuma kabisa ya mwanadamu inayotolea kinyesi.....

Wewe sugu unamuweka mizani moja na huyo vick kwakuwa naye aliimba kwaya ya wanawake na maendeleo?...na alikuwa mwanamziki kwa muda gani kama sio miezi mitatu tuu?...hujui sugu kaleta mapinduzi ya muziki wa kizazi kipya hapa nchini?...

Hebu kuwa bwana unajizeesha vibaya....badilika bro na utoe mawazo atleast ya kumpa hope mshuwa wako kuwa hata akitangulia ana-kijana atalinda legend yake.

Unaboa kweli na mawazo yako ya kitotototo tu.....ni hayo tuu.
 
Mbona umetokwa na povu jingi sana mkuu umekabwa koromeo la hewa?
 
flora msoffe, upo mum
Kaa kimya kabisa mamangu sometimes kujadili mali za wakubwa unakuwa kama hujipendi vile!


heheheheheheheheh ngoja nilinde kucha na meno yangu bado nayahitaji kwa matumizi ya baadaye loh
 
Last edited by a moderator:
- Kaka wacha majungu na siasa za makengeza sio nyie mliotuambia hapa kwamba utajiri wa Sugu ni halali maana alikuwa muimbaji wa muziki sasa hapa tofauti ni nini hasa ya hawa wanamuziki wawili kuwa na utajiri unaofanana? Sometimes mnakuwa na siasa za kuchekesha tulipouliza hapa kuhusu utajiri wa Sugu mlisema ni mwanamuziki sasa what is the problem hapa?

Le Mutuz

Sugu kalipigania jimbo kwa jasho lake, huyo Vicky kahongwa
 
Shes beauty, she deserve more than that...mjilaumu tu bahati zenu mliozaliwa na nyota za bundi!
 
naomba kujua utajiri wa MUKYA ili tulinganishe maana nasikia naye anamiliki jumba la kifahari dubei.
 
Taifa masikini wachache mabilionea wakati ukifika watalia sana maana hata chupi watafilisiwa
 
Mwanamke kipato...chezeya sponsorship ya mkuu wa kaya wewe
 
- Kaka wacha majungu na siasa za makengeza sio nyie mliotuambia hapa kwamba utajiri wa Sugu ni halali maana alikuwa muimbaji wa muziki sasa hapa tofauti ni nini hasa ya hawa wanamuziki wawili kuwa na utajiri unaofanana? Sometimes mnakuwa na siasa za kuchekesha tulipouliza hapa kuhusu utajiri wa Sugu mlisema ni mwanamuziki sasa what is the problem hapa?

Le Mutuz
Habari za Lagos, ha ha haa! Mjumbe wa Bunge la Katiba kupitia watu wenye malengo yanayofanana!
 
Toyota Voxy- Noah ambalo alilitoa sokoni kwa shilingi milioni 16.????
Toyota Altezza alilolinunua kwa shilingi milioni 25.?????

Wadau wa Magari hizo bei ziko vipi????
 
Back
Top Bottom