Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,098
- 631
Huyu mtoto wa Kisukuma kasimama wazee...Hata ungekuwa wewe lazima uweke dau kubwa!!!
tofautisha jinsia......- Punguzeni siasa za makengeza Sugu na huyu dada wote walikuwa wanamuziki ni sawa kabisa kuwa na huo utajiri walionao!!
Le Mutuz
kijumba cha kawaida kbc self contain, wala cyo gorofa ya kifahari kama tunavyockia ya mh sana vicky kamata, mashalaah kbc
Huyu mtoto wa Kisukuma kasimama wazee...Hata ungekuwa wewe lazima uweke dau kubwa!!!
hahahahha..........LeMutuz ame mix with kweleakweleas'alteza sh ngapi? mmmh
mix with yours
Chezea wasukuma weweeee!!!!
- Punguzeni siasa za makengeza Sugu na huyu dada wote walikuwa wanamuziki ni sawa kabisa kuwa na huo utajiri walionao!!
Le Mutuz
Mtoto wa kiume kuwa mbeya haifai, Hebu jitizame na umri wako mkuu...Aibu sana. HayoChakula cha MCUU wa CAYER huyo, nani asiyejua?
Nyerere aliharibu sana watu akili. Roho zetu zimekaa za kimaskini sana.
Mtu ana nyumba na mashamba sijui eti pia X5 basi kelele?
Nyerere aliharibu sana watu akili. Roho zetu zimekaa za kimaskini sana.
Mtu ana nyumba na mashamba sijui eti pia X5 basi kelele?
kwa kuwa ni mwanamke hata haishangazi...