thadei kimambo
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 220
- 126
kipi ni ujinga zaidi ya kingine 1/kung'arisha viatuviatu wakati unaenda kupiga passpot size 2/kupunguza sauti ya redio ili usome sms.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah mkuu zote kali hata kama ulikuwa na hasira lazima u smile
Me naliaSiku Moja Mtanzania alienda marekani, basi akapata girlfriend mweusi. Siku moja akamtembelea nyumbani kwake. Akamkuta binti sebuleni, na mama mkwe Jikoni. Binti akamnongoneza Jamaa sikioni, "Unataka kula Nanihii leo?" Akimaanisha ile inasikika kama "Paka" kwa Kikwetu. Basi jamaa akaadhani ni aina ya chakula akakimbilia jikoni akamwambia mama mkwe, "Naomba .."Kama paka".. Nile, basi mamamkwe akakasirika pakawa hapatoshi pale nyumbani. Masikini jamaa akabaki anashangaa!
Wote ujingakipi ni ujinga zaidi ya kingine 1/kung'arisha viatuviatu wakati unaenda kupiga passpot size 2/kupunguza sauti ya redio ili usome sms.