Justin Dimee
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,146
- 248
jf ina wanachama wapya kila siku....ni kama shule....kila mwaka kuna darasa jipya...ni mwanafunzi mwehu tu wa drs la pili atakayesemamwl. wa drs la kwanza amerudia kufundisha mamboya mwakajana.ukiona topiki imejurudia tambaa... waachie wengine wasome....pia kumbuka kuwa chini ya jua hakuna kipya.....
xaf xana huyo aliyeropoka hapo ana jfanya anajua a2nge yake bac co kujifanya mjuaji kumbe ni nothing 2 anachojua mij2 mingine bna.