Vichekesho kumi za leo teh teh teh!!!

jf ina wanachama wapya kila siku....ni kama shule....kila mwaka kuna darasa jipya...ni mwanafunzi mwehu tu wa drs la pili atakayesemamwl. wa drs la kwanza amerudia kufundisha mamboya mwakajana.ukiona topiki imejurudia tambaa... waachie wengine wasome....pia kumbuka kuwa chini ya jua hakuna kipya.....

xaf xana huyo aliyeropoka hapo ana jfanya anajua a2nge yake bac co kujifanya mjuaji kumbe ni nothing 2 anachojua mij2 mingine bna.
 

1.

Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia] 1. Kama hela haioti kwny miti, kwnn bank zina matawi? 2. Kwnn gundi haigandi kwenye chupa yake? 3. Kama tunatakiwa tusi-drive wkt tumekunywa, kwnn bar kuna parking? 4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho, kwnn lenyewe ni refu hvo? 5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2, kwnn tunabalehe kabla ya kufunga ndoa? Kazi kwako...



2.

Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?


3.

Siri Baba: mwanangu, enhe shika hii 500Tsh usimuambie mama yako kuwa nimelala na housegirl. Mtoto: sitaki, tatizo we baba ni mbahiri sana mwenzio mama akilala na dereva ananipaga 1,000Tsh.

4.
Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA: WAMASAI: Mama Yeyo nipe ile kitu namesa mwensake WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi WAPEMBA: Mama Ali panua paja mti waja! WAZARAMO:((hamna tafsida)andaa k*#, mb*$$ yaja


5.
Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"


6.
Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaa......!


7.
Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; " Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza hivyo? Mtoto akamwambia: Jana uthiku, nilickia ukimnong'oneza mama" Eti, kama anapenda, Muende la pili..! " Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo"

8.
Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi... Wamefunga duka?


9.
Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"


10.
Vibweka vya housegirl Mama mwenye nyumba "jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?" Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."

huyo aliye ingia kwa tax uchi hela itakuwa kwa wap jaman mmh au ndo analipa kwa urodah teh?
 
jf ina wanachama wapya kila siku....ni kama shule....kila mwaka kuna darasa jipya...ni mwanafunzi mwehu tu wa drs la pili atakayesemamwl. wa drs la kwanza amerudia kufundisha mamboya mwakajana.ukiona topiki imejurudia tambaa... waachie wengine wasome....pia kumbuka kuwa chini ya jua hakuna kipya.....

Spot on! I concur with you Pota!
 
Hahahahaaaa 'Some Text missing too'
Lol nimeipenda hii ni kali sana
 
2.
Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?

HAPO KWENYE RANGI NYEKUNDU PANANITATIZA.......!!!!!!!!!!!!!!
 
2.
Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?

HAPO KWENYE RANGI NYEKUNDU PANANITATIZA.......!!!!!!!!!!!!!!
aisee hii kali ndugu nimekubali
 
1. Mzee mmoja wa kipemba alimtembelea mwanawe Unguja, basi baada ya chai ya usiku babamwenye nyumba akamtuma mwanawe: 'mleteeni babu yenu tishu' babu bila kujua kitu gani analetwa akasema.
BASI JAMANI NSHASHIBA HIO TISHU NAJA ILA KESHO.
2. MUME BAGHILI.
Mke alimfuata mumewe na kuanza kumwambia maneno matamu akitaka anunuliwe viatu.
Mke: 'darling jana nimeota umeninunulia viatu vizuri'
Mume nae akajibu:'haya na leo ota unavivaa enhe!?'
3. Jamani mnajua km kifo noma?
Familia moja ilivamiwa na majambazi, kabla ya kuiba yakapanga kuwaua wote ila kwanza yakaamua kuwauliza maswali.
Jambazi: we m'ke unaitwa nani?
M'ke: mi naitwa grace:
Jambazi: we una jina km la mama yangu umesalimika sitokuua tena.
Jambazi: we m'me unaitwa nanai?
M,me: mi naitwa Emmanuel ila kazini wananita grace!!
4. Son: dad what should I give to my girlfriand as a VALENTINE GIFT?
Dad: what does she look like?
Son: she's pretty, sweet, sexy, funny to be with and she is good in bed
Dad: give her my mobil numb.
 
Back
Top Bottom