Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Hili nalo neno kama aliandika barua kuwa ukoo wa Nyerere ina maana aliukana ukoo wa Mkapa au ana koo mbili, huu utata usije kuwa wa kisheria kama uraia wa Sioi.Aisee, usilolijua ni kima usiku wa Kiza. Kumbe BWM aliandika barua kuomba kuwa mwanafamilia ya Nyerere? Maswali magumu ya kujiuliza ni haya yafuatayo:
1. Ni nani muasisi wa wazo hilo?
2. Je, alifanya hivyo kwa hiari au aliambiwa aandike maombi?
3. Je motive ya kuomba kuwa mwanafamilia ni nini?
4. Na kwa wanaofahamu what are the criteria and conditions?
5. Je unaweza kulifanya hivyo katika familia yoyote?
There are so many questions than answers.