Vicent amlipua Tendwa, Mkapa aomba suluhu

This is very heavy allegation psychologically by BWM against VKN, at its highest level can even cause a suicide attempt by the victim!!!

So, the best solution and remedy is for the defaulter to send an apology message in a manner suggested by the victim.

Blessed is the one that resolve conflict, and revive a broken relationship over a particular dispute!!
 
Hili nalo neno kama aliandika barua kuwa ukoo wa Nyerere ina maana aliukana ukoo wa Mkapa au ana koo mbili, huu utata usije kuwa wa kisheria kama uraia wa Sioi.
sijui ataiwa Benjamin William Mkapa Mramba Juliuc Kambarage Nyerere?!
 
Kwa hiyo Vincent anaona ni kuzaliwa kwenye ukoo wa Nyerere ni kitu cha maana sana! Maana sioni kama anatoa hoja yeyote ya maana. Ingawaje watu wanachekelea domo lake linavyosema ovyo kumchafua Mkapa kwa hoja za kitoto, ajue anamchafua zaidi huyo Nyerere ambaye anamwita baba yake. Iko siku atajutia maneno yake na sidhani kuwa mtoto wa baba mdogo ana haki ya kumuongelea baba mkubwa kuliko wanaye wa damu.

Hajakuambia anaona kuzaliwa ukoo wa Nyerere ni kitu cha maana, hapa alilazimika kujibu na si kuwa yeye alianza.

Mkapa ni mchafu, wala hahitajiki mtu kumchafua - alishajichafua na anaendelea kujichafua mwenyewe.

Watoto wa baba mkubwa hawajaulizwa, sasa wajibu nini? Amejibu alieulizwa (japo mmoja wao kamjibu Mkapa).
 
Kwa hiyo yote aliyosema Mkapa ni utani? Kweli Unahitaji kuwa kichaa kuwa au kutetea CCM,wanaarumeru mashariki mpoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo,hiyo ndiyo CCM ya Mkapa na Kikwete ya kutetea ardhi!!
 
Binti mkongwe hana maana humu ila kuchafua maada. Mzandiki fulani anayetumiwa. Au ni walewale waliohusika na kitendo hiki kibaya dhidi ya JKN-Baba wa Taifa? Anadhani vijana hawajui kitu, mbona wanajuwa habari za uhuru wa Tanganyika/ Iwe habari ya juzijuzi? Kama BWM sasa umekubali kwamba Vincent ni familia ya JKN, na tuhuma hii imetoka ndani ya familia ya JKN, utake usitake una tuhuma ya kujibu.Majibu ya madaraka na ya Butiku hayaonyeshi kukusafisha. Jiulize!
 
Tendwa anataka kuleta utani na mchezo kwenye maisha,Bwana mdogo Vicent,ukichemsha maji ya ugali,yanapokaribia kuwekewa unga, unachotakiwa kuangalia ni kuhakikisha moto usipungue kwenye jiko,vinginevyo ugali utakuwa mbichi,wewe kanyaga mafuta usikunje mguu,nyosha mguu.
 
wakati tendwa ametoa yale matamshi nilikaa chini nikamsikitia sana maana ninavyomjua vicent nilitegemea hili. kibaya zaidi ni namna mkapa alivyotafuta undugu kwa nyerere kwa barua.
Mimi nilisema Tendwa anajiingiza kichwa kichwa hajui yule jamaa ni jamii ya kikurya ni makosa sana kwa mwanamme kudharaulika mbele ya watu.
 
FEDHA ZA SABODO SH. 100 milioni. Brikanas imekarabatiwa kwa Sh. 1.2 bilioni tena mafundi kutoka China. Sasa hesabu hiyo wapi na wapi? Nendeni na fikra zenu mgando. Mwacheni Vice amkongote Mkapa. Anavuna alichopanda.
 
Ndiyo maana napenda kujua wanaofahamu masuala kama haya huwa inakuwaje?

Jambo hili kutokea kwenye koo za kichifu ni jambo la kawaida sana,kwa wanaotoka koo za kichifu wanajua hali hii ni ya namna gani,mfano kama sikosei KAMBARAGE jina ambalo mwalimu alilitunia pia ni jina ambalo ni la Rafiki ya BABA yake BURITO ambae ni wa kutoka kabila tofauti na Mwalimu yani kabila ya Wazanaki.Kambarage alikuwa rafiki wa damu wa BURITO yani baba ya Mwalimu wakiwa vijana [Kwa watu wa makabila ya Wakurya na Wazanaki wanaurafiki wa kuchanjiana damu yani damu ya marafiki wawili wajichanja mfano mikononi kisha wanachanganya damu zao hizo kwa kuvilingishana mikono yao kwa damu zao kushikamana mbele ya wazee na wanafamilia muhimu ndani ya familia.


Jambo hilo uwafanya wanafamilia hao wawili kuishi kama ndugu wa damu na kuheshimiana kwa pande mbili zao za kifamilia kama ndugu wa damu moja, kwa kiswahili cha sasa tungesema wanapeana YAMINI.

Hivyo jambo la Mkapa kuomba kwenye ukoo huo wa Mwalimu ni la kawaida sana kwa makabila yanayojua JADI hiyo kwa kuwa hata kama tukiishi kwenye ustaarabu wa dunia yetu ya SAYANSI NA TECHNOLOJIA lakini bado tunavutwa pia na JADI YA KIAFRIKA ambayo hatuwezi kuizungumzia kwa upana kwa kuwa inategemea na nyakati na kabila husika,badala ya Mkapa kupewa yamini uenda barua yake ilitosha kuwa kiapo chake cha kukubali kuwa Mwanafamilia ya Mwalimu ambayo ndani yake kuna watu wengi wakiwemo Vicent, Makongolo na Julius Junior na wengineo wengi mpaka ngazi ya kina Kambarage na Mama Maria.

Tusishangazwe na kuomba kwake Mkapa, kwenye baadhi ya familia na makabila, wako wanaokuja kwenye familia wakapokelewa hawajulikani waliko toka wakaomba kuishi na familia husika na kuomba kuwa sehemu ya familia, wakaozwa na kupewa ardhi nao wakaishi kwa kupewa jina la Mwanaukoo anaheshimika na kuwa sehemu ya jamii na kuwa kizazi na kizazi.Kama ingekekuwa Mzee Mkapa bado anazaa siajabu baadhi ya watoto wake angewapa majina toka kwenye ukoo wa Nyerere kama heshima yake kwa familia hiyo.

Hakika jambo lililomtokea Mkapa kwangu mimi ningesema lina sababu kubwa sana kwake,linamkumbusha mambo mengi sana,kwa kuwa daima Mwalimu alikusudia kujenga TAIFA LENYE MWELEKEO WA TAIFA LA UJAMAA WA KIAFARIKA.NA SI UJAMAA KAMA UJAMAA AMBAO BAADHI WAMEUPOTOSHA.Alikusidia ujamaa ambao Mkapa alienda kuomba kwake uhusiano wa kuwa Mwanafamilia kwani kwa sura hiyo ni wapi na wapi Mzanaki na Mmakonde.Kwa wenzetu wazungu kamwe hicho ni kituko lakini kwa waafrika huo ndio uafrika hiyo ndio jadi yetu,hiyo ndiyo damu yetu,kwa kuwa leo hii naadhi ya makabila Tanzania ni zao la aina hiyo ya watu walio enda kujiunga na baadhi ya kabila za kifamilia, kama inavyosadikika leo kuona wakwele ni zao la wazaramo na wasukuma na wanyamwezi kama ni kweli.Na ndio maana wasukuma na wanyamwezi uwaambi kiti kuhusu Jakaya Kikwete, kwa kuwa kijadi wana huo mvuto ambao si lahisi kuelewa kwa jicho la kawaida.

KIlichotokea kwa Mkapa ni majibu ya majibu yasiyo na maelelezo yametokeaje,ila ni majibu ambayo kwa wanaojua ni historia kujiludia na kuonyesha makosa yake,hakika imani ya Mwalimu kwake ilikuwa ni kuona Mkapa anaelekea kule alikokuwa anataka Mwalimu na ndio maana hata pale alipokuwa hatakiwa na baadhi ya wenzie ndani ya chama Mwalimu alimpigania kufa na kupona kuona anapata mwendelezaji wa uafrika.Lakini miaka mitano baadae Mkapa anamgeuka Mwalimu na kulifikisha Taifa kwenye Tabaka jingine kabisa la mfumo wa Maisha ambayo leo Mkapa anamtenga Vicent kutoka kwenye familia ya kiafrika ya famili kuwa sio baba, mama na watoto [Kama wazungu] kama famila za wazungu ila ni familia yenye sura ya kiafrika ambayo familia ni Baba,Mama,Watoto,Bibi,Babu wa pande zote,wajomba,mashangazi,wapwa,mashemeji na jamaa mbalimbali pande zote mbili za baba na mama na mpaka kufikia majirani nao kuwa wanafamilia.


Lakini leo kwa mfumo ambao Mkapa alisimamia kuujenga umejenga kumbagua VICENT,na ukisema familia ya JULIUS NYERERE basi useme nii familia ya iliyopo sasa ya Mama Maria na Watoto aliyezaa yeye mwenyewe.Hakika hizo ndizo fikra chafu za baadhi ya viongozi wengi wa kiaafrika kwa sasa hasa nyumbani kwetu hapa Tanzania.Wamevaa uzungu kuwa siku hizi hawapokee tena ndugu zao kwenye mahekaru yao toka vijijini mwao n matokeo yake hata kwenye ujenzi wa sera na sheria za kujenga Nchi wamesahu kuunda sera zinanazofanana na mazingira ya kiafrika bali wanaangalia sura ya kizungu GLOBALIZATION huku wakiwa wametelekeza familia zao nyingi za kiafrika.Wamekuwa hawapendi tena kuchukua watoto wa dada zao,wajomba zao,watoto wa baba zao wadogo na wakubwa ama wa shangazi zao na kuwasomesha kama ilivyokuwa zamani,mfumo wa kiafrika wa kuishi kama jamii moja.

Ilikuwa ni chini ya Utawala wa Mkapa chimbuko la tabia ya Ubinafsi ilizaliwa na kukuzwa sana na utawala wa Mkapa [Kutokana na sera yake kuu ya UBINAFSISHAJI] ambayo Mkapa alipandikiza kwa lazima bila kujali UTAMADUNI NA SIFA YA KUU YA UAFRIKA.Leo hii kinachotokea kwake ni UAFRIKA unazungumza na kumludisha mbele ya umma kuwa pamoja na yote mwisho wa yote yeye ni Mwafrika.Chini ya baba wa TAIFA ugomvi mkali sana ulisimama wa Mwalimu kumkemea Mkapa kuhusu ubinafsishaji wa Mali za Umma hata ambzao zilionekana kujiendesha kwa faida kama TCC.

Yanayojili kwa Mkapa sasa ni UAFRIKA UANAMLUDISHA NYUMBANI na kumwambia ukweli aliopingana nao kuwa yote kwa yote UAFRIKA NDIO SIFA YETU KUU.Tunaiga tekinolojia na maendeleo mengine lakini bado mfumo wa kuendesha maisha yetu lazima uegemee kwenye UAFRIKA NA SI VINGINEVYO KUWA WATUMWA WA KIFKRA.KWENYE UZEE HUO JADI YA KIAFRIKA INAONGEA KWA SURA NGUMU SANA KWA VIONGOZI WASIO NA MAONO KUJUA NYAKATI HIZO.

HAKIKA ALITATOKEA TAIFA HILI KUWA MA MFUMO NJE YA MUASISI WAKE ALIVYOKUSUDIA LITAYUMBISHWA NA KUCHEZEWA LAKINI DHAMIRA NA NAFSI YA MWASISI ITALILUDISHA KWENYE DHAMILA YA KUISHA KAMA TAIFA LA WAAFRIKA LENYE MAENDELEO.SIO LAZIMA KUKOPI KILA KITU,TOKA KWENYE UTANDAWAZI BALI TUCHUKUE MEMA TUCHANGANYE NA KIAFRIKA TUUNDE TAIFA LETU KAMA SISI WATANZANIA.
 
Mkapa anasema alikuwa anatania pale aliposema kuwa Vicent sio mwanafamilia ya Mwl Nyerere. Kwa maana hiyo yale mengine aliyowaahidi wana Arumeru Mashariki nayo ni utani? Ni hivi;
1. Mkapa alisema kuwa tatizo la ardhi Arumeru analifahamu na atamweleza rais Kikwete - huo ulikuwa ni utani?
2. Mkapa alikataa kuwa hamiliki ardhi huko Arumeru - nalo ni utani?

Arumeru miaka 50 ya utani mmeona matokeo yake, uchaguzi ni wenu, ama kuendelea na utani au kufanya kweli na kuinua maisha yenu.

Well said, great thinker!!!!!

Pombe inaliponza hili lijamaa lililojaa mashavu utafikiri limezoea kutafuna nyama za binaadamu!!!

Likome kutukana watu likiwa jukwaani!!!


Go on Vincent, mpaka likome kuwa grader la CCM!!!

JK anaogopa kusimama jukwaani lenyewe linajifanya ndiyo haliogopi!!! Sasa nadhani litaogopa na lenyewe!! K*** ya mkewe!!
 
Swala la kutomfahamu mtu au kutofahamu uwepo wa kitu hakifuti uwepo wake. Mfano mtu asipofahamu kama mlima Kilimanjaro upo , hakuwezi kuuondoa mlima huo katika uso wa dunia. Rais Mstaafu ndugu Benjamini Wiliam Mkapa kutomfahamu Vicent Nyerere kama ana nasaba na ukoo wa Hayati mwalimu Julius Kambarage Nyerere hali kadhalika hakumfuti Vicent katika ukoo ule. Sasa wasiwasi wa Vicent unatoka wapi? Binafsi ubaya sijauona. Jina si jambo la maana sana bali matendo na mchango wako kwa jamii ndiyo jambo la muhimu. Hayati mwalimu Julius Kambarage Nyerere hakumbukwi kwa kuitwa Nyerere bali kwa mchango wake kwa Taifa la Tanzania.
Vicent hana jipya la kwake zuri, bali anataka kupitia jina la Hayati baba wa Taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere apandie ngazi. Ndiyo maana kwake affiliation yake na jina la Nyerere ni jambo muhimu la kufa na kupona hata anatamani kumtoa roho Ndugu Benjamini William Mkapa. Anataka dunia imuone Vicent kama Nyerere pasipokuwa hata na chembe ndogo ya Nyerere halisi. Mwalimu alikuwa na busara na hekima. Aliheshimu wakubwa na wadogo wa bara na pwani. Kuwa na mtoto wa uko wake anayejenga hoja dhaifu kama Vicent ina tia shaka kama kweli ni ukoo uleule ambao wote tunauheshimu kwa kuzaa chema cha Africa, Nyerere alijenga hoja nzito sio za kulilia jina la ukoo bali utu na uAfrika wake.
Kama Mkapa ni kweli hakufahamu kama Vicent ni wa ukoo wa Nyerere sioni kosa. Kwani kuna ulazima gani kumfahamu Vicent. Hata kama aliwahi kutambulishwa, lakini pia kuna kusahau. Kilichotakiwa ni kukumbushana tu wala sio kugombana na kutoleana maneno ya kashifa. Kusahau ni utu na hakuna mtu asiyesahau. Mkapa akiomba msamaha itakuwa ni kuanua ngoma juani tu, lakini hakuana umuhimu na haitakuwa anaomba kutoka moyoni ila tu dont argue with a fool people might not notice the difference. Lakini pia Mkapa anaweza kunyamaza tu, akavumilia maana yeye ni mzazi na watoto wakati mwingine wanaweza kukunyea. Utanawa na kuendelea na maisha. Wenye hekima watajua choya na pumba.
 
Kwa hiyo Vincent anaona ni kuzaliwa kwenye ukoo wa Nyerere ni kitu cha maana sana! Maana sioni kama anatoa hoja yeyote ya maana. Ingawaje watu wanachekelea domo lake linavyosema ovyo kumchafua Mkapa kwa hoja za kitoto, ajue anamchafua zaidi huyo Nyerere ambaye anamwita baba yake. Iko siku atajutia maneno yake na sidhani kuwa mtoto wa baba mdogo ana haki ya kumuongelea baba mkubwa kuliko wanaye wa damu.

Ah! Wanawe wa damu! hivi hukumsikia Madaraka Nyerere?
 
sijui ataiwa Benjamin William Mkapa Mramba Juliuc Kambarage Nyerere?!

Mh kwa hiyo na Mkuu wa Kaya anaweza kuitwa JAKAYA MRISHO KIKWETE NGUZA VIKING (BABU SEYA)??
Huu undugu wa kuomba kwa barua si mchezo.
Soon tutasikia HARRISON MWAKYEMBE LOWASA
 
Swala la kutomfahamu mtu au kutofahamu uwepo wa kitu hakifuti uwepo wake. Mfano mtu asipofahamu kama mlima Kilimanjaro upo , hakuwezi kuuondoa mlima huo katika uso wa dunia. Rais Mstaafu ndugu Benjamini Wiliam Mkapa kutomfahamu Vicent Nyerere kama ana nasaba na ukoo wa Hayati mwalimu Julius Kambarage Nyerere hali kadhalika hakumfuti Vicent katika ukoo ule. Sasa wasiwasi wa Vicent unatoka wapi? Binafsi ubaya sijauona. Jina si jambo la maana sana bali matendo na mchango wako kwa jamii ndiyo jambo la muhimu. Hayati mwalimu Julius Kambarage Nyerere hakumbukwi kwa kuitwa Nyerere bali kwa mchango wake kwa Taifa la Tanzania.
Vicent hana jipya la kwake zuri, bali anataka kupitia jina la Hayati baba wa Taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere apandie ngazi. Ndiyo maana kwake affiliation yake na jina la Nyerere ni jambo muhimu la kufa na kupona hata anatamani kumtoa roho Ndugu Benjamini William Mkapa. Anataka dunia imuone Vicent kama Nyerere pasipokuwa hata na chembe ndogo ya Nyerere halisi. Mwalimu alikuwa na busara na hekima. Aliheshimu wakubwa na wadogo wa bara na pwani. Kuwa na mtoto wa uko wake anayejenga hoja dhaifu kama Vicent ina tia shaka kama kweli ni ukoo uleule ambao wote tunauheshimu kwa kuzaa chema cha Africa, Nyerere alijenga hoja nzito sio za kulilia jina la ukoo bali utu na uAfrika wake.
Kama Mkapa ni kweli hakufahamu kama Vicent ni wa ukoo wa Nyerere sioni kosa. Kwani kuna ulazima gani kumfahamu Vicent. Hata kama aliwahi kutambulishwa, lakini pia kuna kusahau. Kilichotakiwa ni kukumbushana tu wala sio kugombana na kutoleana maneno ya kashifa. Kusahau ni utu na hakuna mtu asiyesahau. Mkapa akiomba msamaha itakuwa ni kuanua ngoma juani tu, lakini hakuana umuhimu na haitakuwa anaomba kutoka moyoni ila tu dont argue with a fool people might not notice the difference. Lakini pia Mkapa anaweza kunyamaza tu, akavumilia maana yeye ni mzazi na watoto wakati mwingine wanaweza kukunyea. Utanawa na kuendelea na maisha. Wenye hekima watajua choya na pumba.
Kweli wenye hekima tumeshajua pumba ni zipi, wewe kwa akili yako kweli unataka kutuambia Mkapa alikuwa hamjui Vicent kuwa ni wa familia ya Nyerere? eti inawezekana alisahau, kama alisahau kwa nini aropoke kitu asichokijua kwa nini asiulize kama yeye ni mstaarabu, je alikuwa amelewa? maana walevi wanatabia kama hizo za kuropoka ropoka hasa ulevini.
 
Hot issue JF kwa sasa ni ufisadi ndani ya CDM, haya mengine hayana mashiko kwa sasa

wewe akili yako haijai kwenye kijiko cha chai hoja iliyopo mbele yetu ni ipi na wewe unajadili nini??
 
kwa kauli ya mkapa kuhusu Vicent ni sahihi kabisa kwa mzee mkapa kuchoka kisiasa so anatakiwa apumzike ale pensheni yake na si kujitukanisha majukwaani kiivi.
 
vicent achana na mambo ya mkapa na mwl nyerere, toka umeanza siasa leo ndo umeona hy ndo karata ya kukufanya wewe na chama chako mshinde jimbo la Arumeru?.. hata mm binafsi sikutambui wala taifa zima kama wewe ni mtoto wa nyerere unatutisha na ubaba mdogo? Wacha dharau zako wewe, wakina makongoro na akina Rose mbona wametulia?. na ungekuwa umezaliwa na hayati mwl nyerere wewe cjuwi nadhani pangefanana na kongo hapa
 
vicent achana na mambo ya mkapa na mwl nyerere, toka umeanza siasa leo ndo umeona hy ndo karata ya kukufanya wewe na chama chako mshinde jimbo la Arumeru?.. hata mm binafsi sikutambui wala taifa zima kama wewe ni mtoto wa nyerere unatutisha na ubaba mdogo? Wacha dharau zako wewe, wakina makongoro na akina Rose mbona wametulia?. na ungekuwa umezaliwa na hayati mwl nyerere wewe cjuwi nadhani pangefanana na kongo hapa
Kwani wewe usipomtambua atapungukiwa na nini.
 
Back
Top Bottom