JOHN MADIBA
JF-Expert Member
- Jan 30, 2011
- 251
- 155
hot issue jf kwa sasa ni ufisadi ndani ya cdm, haya mengine hayana mashiko kwa sasa
hot issue jf ni chama cha mauaaji ccm kumuaa nyerere
hot issue jf kwa sasa ni ufisadi ndani ya cdm, haya mengine hayana mashiko kwa sasa
Hot issue JF kwa sasa ni ufisadi ndani ya CDM, haya mengine hayana mashiko kwa sasa
shida ya kuzaliwa na wazazi ambao wamelowea mjini na kuwatelekeza wazazi na ndugu zao huko vijijini! tafuta ndugu zako kijana,achana na mambo ya kizungu.Kwa hiyo Vincent anaona ni kuzaliwa kwenye ukoo wa Nyerere ni kitu cha maana sana! Maana sioni kama anatoa hoja yeyote ya maana. Ingawaje watu wanachekelea domo lake linavyosema ovyo kumchafua Mkapa kwa hoja za kitoto, ajue anamchafua zaidi huyo Nyerere ambaye anamwita baba yake. Iko siku atajutia maneno yake na sidhani kuwa mtoto wa baba mdogo ana haki ya kumuongelea baba mkubwa kuliko wanaye wa damu.
Hot issue JF kwa sasa ni ufisadi ndani ya CDM, haya mengine hayana mashiko kwa sasa
Kwa hiyo Vincent anaona ni kuzaliwa kwenye ukoo wa Nyerere ni kitu cha maana sana! Maana sioni kama anatoa hoja yeyote ya maana. Ingawaje watu wanachekelea domo lake linavyosema ovyo kumchafua Mkapa kwa hoja za kitoto, ajue anamchafua zaidi huyo Nyerere ambaye anamwita baba yake. Iko siku atajutia maneno yake na sidhani kuwa mtoto wa baba mdogo ana haki ya kumuongelea baba mkubwa kuliko wanaye wa damu.
Hot issue JF kwa sasa ni ufisadi ndani ya CDM, haya mengine hayana mashiko kwa sasa
nADHANI UMETUMIA TASFIDA HAPO PENYE RED. Gerezani noma, wanayofanyiwa wanaume kama ingekuwa wanawake wangeshakuwa na watoto hata kumi!kunyongwa hapana, aingie gerezani changanyikeni wakamtese huko
Kwa hiyo Vincent anaona ni kuzaliwa kwenye ukoo wa Nyerere ni kitu cha maana sana! Maana sioni kama anatoa hoja yeyote ya maana. Ingawaje watu wanachekelea domo lake linavyosema ovyo kumchafua Mkapa kwa hoja za kitoto, ajue anamchafua zaidi huyo Nyerere ambaye anamwita baba yake. Iko siku atajutia maneno yake na sidhani kuwa mtoto wa baba mdogo ana haki ya kumuongelea baba mkubwa kuliko wanaye wa damu.
Hot issue JF kwa sasa ni ufisadi ndani ya CDM, haya mengine hayana mashiko kwa sasa
Nyie wenye majina ya Nyerere inabidi tuwe tunawauliza kama mna barua za maombi ya ukoo.Haahaa basi Mkapa anautani mbaya sana, tena kuliko binadamu yeyote duniani, yani chama kimemwamini aende Arumeru yeye kumbe kila kitu ni utani huko??
Hot issue JF kwa sasa ni ufisadi ndani ya CDM, haya mengine hayana mashiko kwa sasa
Aisee, usilolijua ni kima usiku wa Kiza. Kumbe BWM aliandika barua kuomba kuwa mwanafamilia ya Nyerere? Maswali magumu ya kujiuliza ni haya yafuatayo:
1. Ni nani muasisi wa wazo hilo?
2. Je, alifanya hivyo kwa hiari au aliambiwa aandike maombi?
3. Je motive ya kuomba kuwa mwanafamilia ni nini?
4. Na kwa wanaofahamu what are the criteria and conditions?
5. Je unaweza kulifanya hivyo katika familia yoyote?
There are so many questions than answers.
Kwa hiyo Vincent anaona ni kuzaliwa kwenye ukoo wa Nyerere ni kitu cha maana sana! Maana sioni kama anatoa hoja yeyote ya maana. Ingawaje watu wanachekelea domo lake linavyosema ovyo kumchafua Mkapa kwa hoja za kitoto, ajue anamchafua zaidi huyo Nyerere ambaye anamwita baba yake. Iko siku atajutia maneno yake na sidhani kuwa mtoto wa baba mdogo ana haki ya kumuongelea baba mkubwa kuliko wanaye wa damu.
aliyeanza kusema maneno ni bwm sasa vincent anajibu