Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,576
- 12,371
Kanzu ipo upande gani?!
nyie wote mnaopinga naombeni niwaulize kitu kimoja, mavazi/dressing code ina impact gani na perfomance ya mtu kimasomo? mbona mna mambo ya kizamani sana, tena sio kizamani maana hata zamani mababu zetu walikuwa wanajifunga tu vipande vya ngozi kujisitiri sehemu za siri na makalio, ingekuwa kuvaa kuna uhusiano na kufaulu basi hata havard au Yale wangekuwa na hizo mambo(nimesema tu hapo kwa assumption hawana hizi mambo) , nyie mnaosema eti oh watu wanatega wenzao kwa nguo wanazovaa nyie ni perverts na mna tamaa zenu za ajabu tu ! acha mtu avae anavotaka kama chuo hakumfai natural selection itaamua tu ndio maana kuna wanaodiscontinue...
Usifananishe uvaaji ovyo wa chuo na ule wa mjini! Chuo is compact place.kwahiyo mapadre wakiwa wanatembea mjini wakaona wasichana wamevaa kwa kuwavutia , kwani nao huenda kutoboa godoro huko parokiani?
Basi mhimize Dada yako au mama yako Mdogo avae nusu uchi tuone kama ni ushamba au ustaarabu!nyie wote mnaopinga naombeni niwaulize kitu kimoja, mavazi/dressing code ina impact gani na perfomance ya mtu kimasomo? mbona mna mambo ya kizamani sana, tena sio kizamani maana hata zamani mababu zetu walikuwa wanajifunga tu vipande vya ngozi kujisitiri sehemu za siri na makalio, ingekuwa kuvaa kuna uhusiano na kufaulu basi hata havard au Yale wangekuwa na hizo mambo(nimesema tu hapo kwa assumption hawana hizi mambo) , nyie mnaosema eti oh watu wanatega wenzao kwa nguo wanazovaa nyie ni perverts na mna tamaa zenu za ajabu tu ! acha mtu avae anavotaka kama chuo hakumfai natural selection itaamua tu ndio maana kuna wanaodiscontinue...
Excellent explanation with relevant examples!Mkuu sijui exposure yako kuhusu vyuo lakini nikutaarifu tu kwa TZ Hakuna chuo chenye foreigners wengi Kama Mweka college
Mkuu naomba nikujibu hoja zako kama ifuatavyo,hoja kwamba UDSM ndio chuo cha kimataifa pekee sio kweli,almost vyuo Vyote nchini Vina foreigners vingine kuzidi hata UDSM fanya study ktk vyuo vya Mweka na Jordan.
Hoja kwamba namna ya uvaaji haiathiri taaluma ni upofu wa kufikiri Sawa sawa, mvaaji anaweza asiathirike yeye lakini akaathiri wengine hasa jinsia tofauti.
Halafu kama msomi lazima utambue kwamba kila nchi ina utamaduni wake na katika ulimwengu wa kibepari kuna kitu kinaitwa cultural imperialism,hao wazungu unaowaona na kuwatetea wavae wanavyotaka means wanaeneza utamaduni wao.
Sisi tuna utamaduni wetu na ni lazima tuupiganie,anayetaka kuja Kusoma lazima afuate taratibu zetu hata wewe Ukienda Uarabuni lazima ufuate tamaduni zao za kujisitiri.
sawa, kwa wale waliozaliwa mjini hawawezi kuathirika sana na hiyo code isiyo zingatia maadili ambayo nyie mnaita ndio ujanja!Udhaifu wako kijana
[emoji108][emoji108][emoji108][emoji108]
Wewe bdo...ukikua utaona tu...nimesoma ud na sijawahi kuona mtu kavaa hivyo acheni fikra za kishamba
Muambie huyu ngeboNa hizo dressing code zisizo na maadili wakienda majumbani kwao huwa hawazivai.
Halafu kuna wanaume wanawataka wavae ovyo lakini kwenye kuoa wanawakataa hao hao waliokuwa wanawahimiza na kuwasifia wanapendeza wakiwa wamevaa huo upupu.
Some people's mind need rehabilitation + services that cost billions of us dollars.