DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Daaah nimemkumbuka huyo Pr Anangisye aliwahi kuleta kitu kama hicho wakati yupo DUCE miaka michache iliyopita lakini walimu waliendelea kupiga vimodo. Nadhani usabato ukizidi unaboa wengine. Anangisye ni msabato kindakindaki