Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Baadhi ya viongozi wa kilokole (pentekoste) wamewazuia waumini wao kutumia dawa za maralia huku wakichoma moto vyandarua vilivyogawiwa kwa wananchi. kama hilo halitoshi wengine wamezuiwa kufanya tendo la ndoa na waume ama wake zao, ikidaiwa kwamba tendo hilo ni ovu na limekatazwa na Mungu!
Source: Majira na Radio Kwizera
Source: Majira na Radio Kwizera