Vibwengo ni mizimu au jamii ya majini

Mtume Petro katika matemdo ya mitume unakumbuka Anani na Safira mke wake ? Nyie ndio mnawafungia watu nje wasipokee baraka zao.. kwa kuwa hadaa watu kwamba sadaka iliyotolewa msakabani imetosha, na kama.muelewa sijasema utoe sadaka ili ujiunganishe na Mungu. Mtu yoyote anae potosha au kukatza sadaka huyo ni mchawi kwasababu anajua siro iliyopo kwenye sadaka.. watu wakijua ndio mwisho wa kunyanyasika.. Nenda kasome habari za Korneli sadaka zake zilikumbukwa wewe ni nani hadi uwakataze watu wasitoe sadaka .. Narudi anae pingana na utoaji sadaka huyo ni mjumbe wa shetani.. Agano la kale lote walikuwa wakitoa sadaka na hata katika gano jipya..
Anania na Safira walijenga madhabahu? Sadaka ni nini?
 
Nasubiri vifungu nikimbie. Hii ni mpya, kila asomaye na aelewe, kwamba Yesu Kristo alikufa kwa ajili ya ulimwengu na pia kwa ajili YAKE MWENYEWE!! Ok, sawa. Weka vifungu uzidi kunichanachana
Waebrania 1 4
amefanyika bora kupita malaika, kwa kadiri jina alilolirithi lilivyo tukufu kuliko lao.

👇👇👇

Amekuja pewa ilo jina baada ya kufa. Asingekufa asingepata hilo jina. Wala vitu visingetiishwa vyote chini yake.

Na kwa upande wa pili

Yohana 3 16
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.

Yohana 3 17
Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.



Hiyo ilikuwa ni kwa faida yake.
 
Waebrania 1 4
amefanyika bora kupita malaika, kwa kadiri jina alilolirithi lilivyo tukufu kuliko lao.



Amekuja pewa ilo jina baada ya kufa. Asingekufa asingepata hilo jina. Wala vitu visingetiishwa vyote chini yake.

Na kwa upande wa pili

Yohana 3 16
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.

Yohana 3 17
Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.



Hiyo ilikuwa ni kwa faida yake.
Kwa hiyo unataka kusema Yesu Kristo kabla ya kuja duniani alikuwa na upungufu kiasi ilibidi afe ndio afanyike bora? Hebu nieleweshe hapa
 
Kwa hiyo unataka kusema Yesu Kristo kabla ya kuja duniani alikuwa na upungufu kiasi ilibidi afe ndio afanyike bora? Hebu nieleweshe hapa
Ndio maana yake. Na ndio maana alijaribiwa na Ibiri.. ange loose asingefanyika bora
 
Hapana huwezi acha imani, na ndio maana nimekuambia uwe na madhabau, watu wengi sana wana fail maisha na kuonea kwasababu hawana madhabau, ila ukianza angalia enzi na enzi madhabah ndio ilikuwa kila kitu, lolote lilikuwa likitokea watu wana kimbilia kwenye alter. Sasa watu wamekalili kwamba madhabahu ni kanisani tu , hata nyumbani lazima uwe na alter, ila iwe under contro ya Mungu mkuu muumba wa mbingu na nchi
Aisee mapadri watakuwa wanaijua hili suala, kuna kanisa likiibiwa vikombe vya altareni, basi padri akasema tuombe Mungu wiki moja labda mwizi wa hivo vikombe avirudishe, basi haijapita wiki vikombe vikarudishwa, unachoongea ni sahihi kabisaa
 
Ndio maana yake. Na ndio maana alijaribiwa na Ibiri.. ange loose asingefanyika bora
Waebrania 1
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
³ Yeye kwa kuwa ni mng'ao wa utukufu wake na chapa ya nafsi yake, akivichukua vyote kwa amri ya uweza wake, akiisha kufanya utakaso wa dhambi, aliketi mkono wa kuume wa Ukuu huko juu;
⁴ amefanyika bora kupita malaika, kwa kadiri jina alilolirithi lilivyo tukufu kuliko lao.


** Amefanyika bora - baada ya kufunuliwa nadi wanadamu kumjua, tunaambiwa kuwa mamlaka yake ni zaidi ya mamlaka ya malaika. Yeye Mungu, huu ni ushuhuda wa mamlaka ya Kristo kwetu waamini.
-----------------

⁵ Kwa maana alimwambia malaika yupi wakati wo wote, Ndiwe mwanangu, Mimi leo nimekuzaa? Na tena, Mimi nitakuwa kwake baba, Na yeye atakuwa kwangu mwana?

** Ndipo hiyo hoja yatolewe ile kuweka ushahidi, je yuko malaika yeyote aliwahi kuambiwa NDIWE MWANANGU? Hapana!! Hivyo hadhi ya Kristo imepita ile ya malaika.
-----------------

⁷ Na kwa habari za malaika asema, Afanyaye malaika zake kuwa pepo, Na watumishi wake kuwa miali ya moto.

** Malaika ni watumishi tu, angalia neno AFANYAYE!! Hao ni viumbe tu wanaofanywa kuwa wajumbe.
--------------------

⁸ Lakini kwa habari za Mwana asema, Kiti chako cha enzi,Mungu,ni cha milele na milele; Na fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya adili.

** Sasa kwa Mwana (Kristo) asema - Yesu Kristo ni mfalme, ameketi kwenye kiti cha enzi cha Mungu, atawala milele. Hallelujah.
 
Aisee mapadri watakuwa wanaijua hili suala, kuna kanisa likiibiwa vikombe vya altareni, basi padri akasema tuombe Mungu wiki moja labda mwizi wa hivo vikombe avirudishe, basi haijapita wiki vikombe vikarudishwa, unachoongea ni sahihi kabisaa
Morogoro
 
Tutaanza na madhabu, na nature ya madhabau na mtu wa kwanza kuwa na madhabau, na kwanini madhabau. Alafu tunaenda namna ya kuulani uchawi na kuharibu nguvu zake, jamii kubwa ya ki africa tunashindwa kufikia hatma zetu kwasababu ya mambo ya kichawi na level zake..
Upo vizuri
 
Aisee mapadri watakuwa wanaijua hili suala, kuna kanisa likiibiwa vikombe vya altareni, basi padri akasema tuombe Mungu wiki moja labda mwizi wa hivo vikombe avirudishe, basi haijapita wiki vikombe vikarudishwa, unachoongea ni sahihi kabisaa
Alikamatwa akitafuta mteja wa kumuuzia baada ya kugundua sio pure gold, is it?
 
Habari za jioni, aise leo nimefikiria zamani hizo kuhusu shuhuda za watu mbali mbali waliowahi kukutana na aina ya watu wafupi sana wakati wa usiku hasa boarding schools (vibwengo) je kwenye hili kuna ukweli kwenye hili wewe ni miongoni mwao ilikuwaje na wanafananiaje, na lengo la hawa viumbe hasa huwa ni nini, na Kwanini kipindi hiki hawapatikani ni wamepotelea wapi, Mwenye uelewa na hili embu tuambiane
Uliwaona wapi?wanafananaje?

Weka picha tuweze kuamini, otherwise hizo ni hadithi za kufikirika tu
 
Uthibitisho ni huu , ushawahi pata nafasi ya kuona utu wako ndani ( roho ? ) au nafsi yako ? Najua mwili wako unaona .. ukiweza nijibu kama umeisha wahi kuona roho na nafsi yako ni rahisi niki kuthibitishia uwepo wa vibwengo ukanielewa.. ila kama hujawai ona roho wala nafsi yako huwezi nielewa hata kidogo
Roho ni'nini na ipo sehemu gani katika mwili?.

Nb: ujathibisha bado.
Naomba uthibitisho wa uwepo wa vibweng'o
 
Siku moja katika pita pita zangu,mchana saa nane hivi, nilikutana na jitu moja Nene Sana refu kwenda na juu na nywele nyingi.
Lilikuwa limegeukia mbele mie natoka kwa nyuma, hivyo sikuelewa mwanaume au mwanamke. Ilikuwa tendon Kama la dakika moja hivi, lile jitu likapotea.
Wakuuu kwa uzoefu wenu niliona Nini?
Maralia hiyo MKUU.
 
Maandiko kama msomaji wa Biblie kuanzi NUHU alipotoka katika safina alitoa sadaka za kuteketezwa kwenye madhabau aliyo ifanya, mabingwa wote wa imani walikuwa na madhabau na walitoa sadaka katika madhabau.. NUHU, IBRAHIM ,DAUDI , ELIJAH etc..
Nani bingwa wa imani kumzidi Kristo?
 
Back
Top Bottom