PierreLiquid
JF-Expert Member
- Oct 16, 2019
- 596
- 2,280
Habari za jioni, aise leo nimefikiria zamani hizo kuhusu shuhuda za watu mbali mbali waliowahi kukutana na aina ya watu wafupi sana wakati wa usiku hasa boarding schools (vibwengo) je kwenye hili kuna ukweli kwenye hili wewe ni miongoni mwao ilikuwaje na wanafananiaje, na lengo la hawa viumbe hasa huwa ni nini, na Kwanini kipindi hiki hawapatikani ni wamepotelea wapi, Mwenye uelewa na hili embu tuambiane