Vibwengo ni mizimu au jamii ya majini

Vibwengo ni mizimu au jamii ya majini

Nakumbuka zamani kidogo nikiwa namsindikiza mzee mmoja Kwake akitokea kwa babu yangu tulikua tukipiga story za dizaini hii.Tulipita pahala kuna soko la jioni watu wamejazana ilikua mida ya saa mbili usiku,ndipo mzee huyu akanambia unataka kuona inavyokua nikamjibu ndio, akadai nisionyeshe hofu. Basi bana akanipakaa vijidawa flani machoni, niliona mambo ya kutisha sasa sijui ndo vibwengo, ni ķama vitoto lakini vichwa Vyao nivibabu na vibibi. Pia hapo niliona bàadhi ya wamama wakiwa uchi na Wengine wamekalia mafuvu ya vichwa vya watu. Pia baadhi walionekana kama wendawazimu. Yule mzee aliniambia umetosha nikamwambia ndio. Basi akanipakaa dawa nyingine nikaona mambo yamekua kawaida. Badala ya kuendelea kumsindikiza ilibidi yeye tena anirudishe home, tulipofika tulimkuta babu akauliza vp ameona hapo nikagundua nilikua nafunzwa kitu. Mpaka kesho maeneo haya sili wala situmii muda mwingi kuwepo. Babu alinambia nisije pakwa dawa hii tena kwani huharibu macho.
Uchawi ulikuwa unafundishwa
 
Huu uzi una mchanganyiko wa mambo mengi Sana unaweza ukajikuta mtu unasoma afu usielewe chochote..

Nitakutumia kitabu pm uanze nacho kukisoma then Kama utakimaliza Kama utaitaji uongeze ujuzi zaidi ntakutumia vingine...
Mkuu nami naomba unitumie au unipe jina la hiko kitabu
 
Kwanza wewe unachanya mambo mie humu sikuwa nafundisha mafanikio,nimegusa vitu vingi sana. Pili Imani ya mtu huamua kiwango cha maisha ya huyo mtu. Mie humu hawanijui siwajui.. na sina interaction na mtu hata mmoja humu kusema kuna kitu nataka hapa.. wewe unaanza lazima habari za prosperity gospel.. anza kumifatilia toka mwanzo wa huu uzi. Utajiri ni lazima

👇👇👇

Kumbukumbu la Torati 8 18
Bali utamkumbuka BWANA, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo.

Kama hutaki achaaa... Injili lazima ibalance, leo kina Bill gates wana nguvu ya kufanya watakacho kwasababu wana pesa, ila kipindi kina suleiman wanafata kanuni au kina Ibrahim.. wao ndio walikuwa matajiri kupita wote .. Kanisa lazima liwe na matajiri kuliko walimwengu.. ila shida sasa ni watu kama nyie mnatia giza
Kiongozi naomba namba yako tafadhali
 
Vibwengo ni Watoto na Wajukuu wa Misukule.... Wamezaliwa kwenye Ulimwengu wa Roho, so Macho ya Nyama kuwaona ni ama bahati mbaya, ama Kwa kusudi.
 
Back
Top Bottom