Nijuavyo mimi huyu malaika ni mojawapo ishara ya kuwa binadamu ndio kiumbe mwenye mamlaka ya makubwa kuliko viumbe vyote guardian angel hawezi kuwa kisirani bali anaweza kuhuzunika na kumfanya awe weak kutokana na matendo yako mtoto anapokuwa mdogo wewe unaweza ukawa busy unamshangaa anacheka kwa furaha kumbe kuna time huwa anafurahi na malaika wake au swala la mtoto kulia usiku pasipo na shida yoyote hana homa wala nini huwa anashuhudia vita kati ya roho chafu dhidi ya malaika wake...Ndio maana kuna kamsemo mtoto mdogo ni malaika.Kadri tunavyozidi kukuwa matendo yetu ndio huamua huyu malaika wetu awe close na sisi kwa ukubwa ipi maana huwa tunatoka kwenye kutawaliwa na nafsi na ndipo ubongo huchukua nafasi kubwaGuardian angel ni malaika pekee mwenye uwezo wa ku access nafsi yako. Ni malaika ambae unaeza mtia kisirani, ni malaika ambae unaeza ukamfanya akawa weak kutokana na matendo yako.. ni malaika anaeweza invite other heavenly being kwenye maisha yako ni malaka pekee anae jua hatma yako na unapo elekea. Sasa inakuwaje ukachomoka kabla ya wakati wako ? Ukisha mfanya kuwa kisiriani na kumfanya kuwa weka anakosa nguvu juu yako na nafsi yako na hapo ndipo umauti unapokuja kabla ya mda. Sijui umepata point yangu kidogo hapa ?
Ukifuatilia sana wanachoita ushirikina au ibada za giza na ibada za mwanga ni kitu kimojaNafikiri ya kuanda madhabu ni muhimu sana. Kwenye madhabu ndio kuna hatma ya mambo mengi, anzia kwa Isaka. Ibrahim mwenyewe. Nuhu baada ya gharika cha kwanza alipotoka akamjengea Mungu madhabau na akatoa sadaka, alipotoa tu Sadaka ya kuteketeza wanyama Mungu akasema nae kwa ahadi ya kuto angamiza dunia kwa mafuriko tena.. kwenye madhabu ni sehemu muhimu sana inayo weza kukufanya uwe weak au strong
Ujuavyo upo sawa. Ndio maaa nimeweka kwanza historia ya guardian angel kwa ufupi hapo.. ujue walianzia wapi. Malaikwa anaweza kuwa kisirani na anaweza akahuzunika pia. Na ndio maana kuna watu hadi leo wamepotea katika maisha kwasababu guardian angel ame abort misionNijuavyo mimi huyu malaika ni mojawapo ishara ya kuwa binadamu ndio kiumbe mwenye mamlaka ya makubwa kuliko viumbe vyote guardian angel hawezi kuwa kisirani bali anaweza kuhuzunika na kumfanya awe weak kutokana na matendo yako mtoto anapokuwa mdogo wewe unaweza ukawa busy unamshangaa anacheka kwa furaha kumbe kuna time huwa anafurahi na malaika wake au swala la mtoto kulia usiku pasipo na shida yoyote hana homa wala nini huwa anashuhudia vita kati ya roho chafu dhidi ya malaika wake...Ndio maana kuna kamsemo mtoto mdogo ni malaika.Kadri tunavyozidi kukuwa matendo yetu ndio huamua huyu malaika wetu awe close na sisi kwa ukubwa ipi maana huwa tunatoka kwenye kutawaliwa na nafsi na ndipo ubongo huchukua nafasi kubwa
Mie nitoe mkuu, huo ni upumbavu wako tuUkifuatilia sana wanachoita ushirikina au ibada za giza na ibada za mwanga ni kitu kimoja
Upumbavu wetu tu
Mie nitoe mkuu, huo ni upumbavu wako tu
Ishara zake ,ni moja wapo unaeza ukawa umeweka pozi sehemu, unasikia kama mtu anashika kichwa chako ( anaweka some wisdom ), au unasiki kitu kama joto linalo ambatana na furaha sanaaaaa... kama upo mahala flani amazing, lakini pia kwa wanaume unaeza hisi sehemu zako za suri zimekaukaa au kakaamaaa sanaaaa, kwa wanawake huwa wanakuwa wet.. hii maana yake ni kwamba una intimacy na malaika wako .. sasa hapa pata vuruga watu, ila ukiona pame kuvuruga uliza swali.. lakini pia kuwashwa macho ila unakuwa na peace ndani yako.. na ushara zingine nyingi zikiwepo za msukumo wa ndani
Huna akili.. jiangalie sio unaleta ujuaji.. kama vipi pita kimya kimya..Unakwepaje upumbavu huku unakwepa ushikina lakini unasujudu altareni
Let say, una meditade ukuu wa Mungu ,( maarifa ya Mungu au neno la Mungu paka unazama ndani kabisa, wengine huanza kuona inner vision au hadi upitiwa usingizi ( trance ) - supernatutal experience ). Dah! Nahisi hapa kuelewa intimacy tungeanza fundisha origin ya sex hapa pangekuwa rahisi sana kupaelewa.. ila ngoja nijaribu. Intimacy na guardian angel ni pale unapokuwa na deep fellowship na malaika wako as a result your guardian angel kuweka ( kupanda mbengu ya kiroho - inaweza kua aina ya baraka, kipawa , wisdoma.. mimba ya kiroho ndio matokeo ) kuna watu wana mimba za kiroho za mafanikio au vipawa flani hayo ni matokeo pia ya kuwa na intimacy na malaika zao amaboa hupanda hizo mbengu.. ila tungeanzia kule ingekuwa rahisi kunielewa why kwa wadada huwa wanakuwa wet.. na wanaume panakuwa kama pamegigwa baridi pana kakamaaa kabisa.. natafakari namna rahisi kukuelekeza kwasbabau ninge anzia kwenye origin ya sex ungeleewa kwa urahisi sanaMkuu fafanua hapo kuwa na intimacy na malaika wako.
Ukweli ndo huoHuna akili.. jiangalie sio unaleta ujuaji.. kama vipi pita kimya kimya..
Haya mkuu.. jikatae basiUkweli ndo huo
Wote mko sawa tu
Nilitaka kushangaa, Mtu wa aina yako asijitokeze mpaka sasa....!Ukweli ndo huo
Wote mko sawa tu
Yani anachafua tu trend for his own good reason...Nilitaka kushangaa, Mtu wa aina yako asijitokeze mpaka sasa....!
Nilitaka kushangaa, Mtu wa aina yako asijitokeze mpaka sasa....!
Kwa hiyo Wewe unayeamini Madhabahu za Kichawi na Uganga ni sawasawa na Madhabahu za Ki Mungu!?Ugumu wenu tu wa kuelewa
Kilichokuudhi ni usawa wa madhabahu za kichawi na za kidini ama kutoshusha nondo?Kwa hiyo Wewe unayeamini Madhabahu za Kichawi na Uganga ni sawasawa na Madhabahu za Ki Mungu!?
Sasa na wewe Shusha Nondo zako Hapo chini kama Mdau anavyofanya ili tuelewe hoja yako.....
Kama hilo huwezi, jambo la busara ni wewe kuficha Upumbavu wako kwa kukaa kimya.