Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 7,818
- 10,863
Kweli kabisa hapa hapa JFTutaendela shusha nondo kibao, hata hapa hapa mkuu.. napokea maswali yoyote hapa hapa na tunayajibu hapa hapa.. leo tunaendelea mda si mrefu wazo lako la whatsapp ni zuri pia, ila hapa JF naona ni pazuri zaidi kwasababu ya uwazi wake
Sent using Jamii Forums mobile app