nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,683
- 14,066
Nawafahamu baadhi ya vibarua wa hapo walio jenga na wengine wamejiongeza ni madereva.Ref Lucas TriganTunyamaze yaliyopo viwandani kwa hawa wanaojiita matajiri na kujifanya wanapenda dini na kutoa misaada bora kubaki kimya.
Maana uwezi kulipa ujira mzuri kila mtu.
Viwanda au kampuni yoyote kubwa idadi wanayo lipwa vizuri iwezi kufika hata 100.
Tena Azam ndio kabisa

kabisa. Ni wakwepaji wakubwa wa kulipa kodi, watoaji wakubwa wa rushwa, wanyonyaji wakubwa wa maslahi ya wafanyakazi na vibarua. Nenda tu hapo SSB wanapotengeneza Pepsi, upumbavu mtupu, ila ni umasikini wetu tu.