sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,281
- 7,953
Ña Wale machinga wa kariakoo unasemaje mkuu? Ña wale tukawatimue maana hawalipi kodi piakwa hiyo walikataa kukaa ndani wakaweka vibanda nnje ya jengo la biashara ili watu wasiingie ndani wakija waishie hapo nnje, wao hawalipi kodi huku wanauza, walio ndani wanalipakodi lakini hawauzi.
