Vibali vya ujenzi kwenye maeneo ya squatter

Taured

JF-Expert Member
Dec 12, 2010
806
670
Habari Wanasheria mlioko humu,

Mimi nilijenga nyumba yangu maeneo yasiyo rasmi ( squatter) tangu mwaka 2014 na kuhamia , kipindi hicho hakuna barabara , umeme Wala maji.

Wanacnchi tulijichanga wenyewe na KULETA huduma MBALIMBALI kama vile barabara , maji na umeme na kipindi chote hicho hatukuwahi kuletewa habari za kwamba ukitaka kujenga uwe na kibali Cha ujenzi KWENYE MAENEO yetu.

Sasa Jana Kuna vijana wawili walivamia nyumbani kwangu na kudai nilipe 200,000/ Kwa ajili ya kibali Cha ujenzi unaondelea kwenye makazi yangu, nilaiamua kurekebisha miundombinu ya kuzuia maji yanayoharibu makazi yangu Kwa kuzungushia ukuta mdogo maeneo yanayoathirikia na mvua za Sasa,

Sasa kosa langu ni nini? Ikiumbukwe kwamba juzi kati nilidondokewa na ukuta wa jirani KUTOKANA na hizi athari za mvua!

Sasa je maeneo ya squatter nayo yana utaratibu wa kupewa VIBALI VYA UJENZI?
 
Kuna kibali cha ujenzi kwenye makazi yasiyo rasmi. Utolewa na halmashauri husika. Lakini ndo upuuzi wa baadhi ya watu wa serikali, badala ya kutoa elimu wanakupiga faini. Yaani kuna wafanyakazi wengine wa serikali vichwa maji kweli.
 
Habari Wanasheria mlioko humu,

Mimi nilijenga nyumba yangu maeneo yasiyo rasmi ( squatter) tangu mwaka 2014 na kuhamia , kipindi hicho hakuna barabara , umeme Wala maji.

Wanacnchi tulijichanga wenyewe na KULETA huduma MBALIMBALI kama vile barabara , maji na umeme na kipindi chote hicho hatukuwahi kuletewa habari za kwamba ukitaka kujenga uwe na kibali Cha ujenzi KWENYE MAENEO yetu.

Sasa Jana Kuna vijana wawili walivamia nyumbani kwangu na kudai nilipe 200,000/ Kwa ajili ya kibali Cha ujenzi unaondelea kwenye makazi yangu, nilaiamua kurekebisha miundombinu ya kuzuia maji yanayoharibu makazi yangu Kwa kuzungushia ukuta mdogo maeneo yanayoathirikia na mvua za Sasa,

Sasa kosa langu ni nini? Ikiumbukwe kwamba juzi kati nilidondokewa na ukuta wa jirani KUTOKANA na hizi athari za mvua!

Sasa je maeneo ya squatter nayo yana utaratibu wa kupewa VIBALI VYA UJENZI?
Kwa tafsiri nyepesi,hicho siyo kibali cha Ujenzi, hicho ni kibali cha ukarabati,maana kibali cha Ujenzi kinatakiwa kutoka hata kabla ya kuchimba msingi wa nyumba yako unayotka kuanza kujenga!!
 
Habari Wanasheria mlioko humu,

Mimi nilijenga nyumba yangu maeneo yasiyo rasmi ( squatter) tangu mwaka 2014 na kuhamia , kipindi hicho hakuna barabara , umeme Wala maji.

Wanacnchi tulijichanga wenyewe na KULETA huduma MBALIMBALI kama vile barabara , maji na umeme na kipindi chote hicho hatukuwahi kuletewa habari za kwamba ukitaka kujenga uwe na kibali Cha ujenzi KWENYE MAENEO yetu.

Sasa Jana Kuna vijana wawili walivamia nyumbani kwangu na kudai nilipe 200,000/ Kwa ajili ya kibali Cha ujenzi unaondelea kwenye makazi yangu, nilaiamua kurekebisha miundombinu ya kuzuia maji yanayoharibu makazi yangu Kwa kuzungushia ukuta mdogo maeneo yanayoathirikia na mvua za Sasa,

Sasa kosa langu ni nini? Ikiumbukwe kwamba juzi kati nilidondokewa na ukuta wa jirani KUTOKANA na hizi athari za mvua!

Sasa je maeneo ya squatter nayo yana utaratibu wa kupewa VIBALI VYA UJENZI?
Hii njaa imeleta matapeli wengi sana , 200,000 unawapaje wapaje yani?
 
Habari Wanasheria mlioko humu,

Mimi nilijenga nyumba yangu maeneo yasiyo rasmi ( squatter) tangu mwaka 2014 na kuhamia , kipindi hicho hakuna barabara , umeme Wala maji.

Wanacnchi tulijichanga wenyewe na KULETA huduma MBALIMBALI kama vile barabara , maji na umeme na kipindi chote hicho hatukuwahi kuletewa habari za kwamba ukitaka kujenga uwe na kibali Cha ujenzi KWENYE MAENEO yetu.

Sasa Jana Kuna vijana wawili walivamia nyumbani kwangu na kudai nilipe 200,000/ Kwa ajili ya kibali Cha ujenzi unaondelea kwenye makazi yangu, nilaiamua kurekebisha miundombinu ya kuzuia maji yanayoharibu makazi yangu Kwa kuzungushia ukuta mdogo maeneo yanayoathirikia na mvua za Sasa,

Sasa kosa langu ni nini? Ikiumbukwe kwamba juzi kati nilidondokewa na ukuta wa jirani KUTOKANA na hizi athari za mvua!

Sasa je maeneo ya squatter nayo yana utaratibu wa kupewa VIBALI VYA UJENZI?
mwaka jana walikuja wapuuzi kama hao nyumbani kwangu eti wanaomba Ramani ya nyumba na kibali cha ujenzi. Nyumba ambayo ilikamilika tangu 2018 na watu wakaanza kuishi, 2023 mtu anakuja anachora kwenye ukuta na kuacha namba za simu eti nifike Halmashauri nikiwa ba ramani ya nyumba na kibali cha ujenzi, niliwapuuza sijawahi kwenda na starajii kwenda na sijawahi piga hiyo namba yao.
 
Back
Top Bottom