vibaka wa ndoa

vibaka wa ndoa

Future ipo ila hainizuii kuishi my present am living my moments
hahaha,hujui kwamba present ndo inaandaa future.wewe ruka na waume za watu.ukifika wakati unataka kuolewa no one looks at you.utajiju
 
Wanawake mlio kwenye ndoa, kubweteka kwenu na kujisahau wajibu wenu katika ndoa ndiko kunakowakaribisha hao vibaka katika ndoa zenu. Jaribu kujiuliza mmeo anachokikosa hapa nyumbani hadi achukue uamuzi wa kubakwa kwa hiari. Vinginevyo mtaishia kulalama na vibaka wanaendelea na shughuli mtindo mmoja.
 
Wanawake mlio kwenye ndoa, kubweteka kwenu na kujisahau wajibu wenu katika ndoa ndiko kunakowakaribisha hao vibaka katika ndoa zenu. Jaribu kujiuliza mmeo anachokikosa hapa nyumbani hadi achukue uamuzi wa kubakwa kwa hiari. Vinginevyo mtaishia kulalama na vibaka wanaendelea na shughuli mtindo mmoja.

heheheheeee! haya sasa.
 
Wakishaolewa wanajibweteka tu kuwekwa ndani siyo tiket kuwa mume hatochit mwanamke ukiolewa jua ndio umeanza safari ya kuhakikisha huyo ni wako pekee otherwise ukilegeza kamba tu imekula kwako pia mjifunze kudil na waume zenu wakichit na siyo kuwaattack wanawake wenzenu mnawafanya wanaume wasifil kosa la kuchit
umeona ee? tatizo hawakubali ukweli.
 
hahaha,hujui kwamba present ndo inaandaa future.wewe ruka na waume za watu.ukifika wakati unataka kuolewa no one looks at you.utajiju

bibi weeeee,mbona tunaona vikongwe wakioana kila siku?
 
Kama kuolewa ni nishani ushavikwa ngapi? Mbona amekuchit? Tena watatu at the same time? Deal with your man kudil na anaochit nao haisaidii mfanye akuone umewazid hao anaowafata uone kama atachit tena
hahaha,hujui kwamba present ndo inaandaa future.wewe ruka na waume za watu.ukifika wakati unataka kuolewa no one looks at you.utajiju
 
Wakishaolewa wanajibweteka tu kuwekwa ndani siyo tiket kuwa mume hatochit mwanamke ukiolewa jua ndio umeanza safari ya kuhakikisha huyo ni wako pekee otherwise ukilegeza kamba tu imekula kwako pia mjifunze kudil na waume zenu wakichit na siyo kuwaattack wanawake wenzenu mnawafanya wanaume wasifil kosa la kuchit

:A S-heart-2::A S-heart-2:
 
Analooo hilo limemganda tatizo kakariri kuolewa, kuzaa, kulea, wajanja wanafaidi na mumewe anakuja kupiga mayowe apa
bibi weeeee,mbona tunaona vikongwe wakiona kila siku?
 
Kama kuolewa ni nishani ushavikwa ngapi? Mbona amekuchit? Tena watatu at the same time? Deal with your man kudil na anaochit nao haisaidii mfanye akuone umewazid hao anaowafata uone kama atachit tena


inaitwa makavu live!
 
Wake za watu mbadilike mtakapoanza kuelewa kuwa adui yenu ni waume zenu na wala siyo wanawake wenzenu mtashinda vita hii badilishen strategy dilin na waume zenu who are the root cause of this problem, msigombane na wanawake wenzenu who are just the outcome of the problem
 
Na ni makavu live kwelikweli mumewe anitongoze mwenyewe tena kwa magoti na machozi alafu bibie analeta kibesi bila mpango sawa ye mzuri kawekwa ndani mie wa part time ananifatilia ili iweje?
inaitwa makavu live!
 
Na ni makavu live kwelikweli mumewe anitongoze mwenyewe tena kwa magoti na machozi alafu bibie analeta kibesi bila mpango sawa ye mzuri kawekwa ndani mie wa part time ananifatilia ili iweje?

haaapo chacha! haihuuu bibi wewe, atuache tupumue!
 
Back
Top Bottom