MMAHE
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 815
- 420
Na hao wanaume pia wabatize. Mimi naamini it takes 2 to tango. Wote wanamakosa, kwani na huyo mme kapitiliwa kwamba anafamilia?
hapo sasa! mtu anajua kabisa ana familia huko nje anafata nini?
Na hao wanaume pia wabatize. Mimi naamini it takes 2 to tango. Wote wanamakosa, kwani na huyo mme kapitiliwa kwamba anafamilia?
asaume yeye tayari ana ukimwi si atakupa pia,eti kisa kizuri kula na wenzioMjinga huyo anaemuacha mkewe nyumbani kwenda kuusaka ukimwi.
Wako akiwa kwako bibi weee,akitoka nje wa wote! kwani mtoto mdogo asijue kama ana mke, watoto na wajukuu? alifatwa au yeye ndo alifata? unataka wenzio wakale wapi polisi? kizuri kula na wenzio atii!
Wanaume wengi hawajatulia hata kidogo,kuna kidumu cha mme wangu kilikuwa kinadanganywa basi kikajiona yeye ndo yeye,hakujua kuwa mwanaume kama hajatulia hajatulia tu,kumbe vidumu wapo kibao,nikawaangunisha watatu wote wakajuanaaaa,hahahah Mme wangu alivyokuwa anawadanganya hadi huruma.Halafu sasa wao walikuwa hawajuani,kila mmoja alinijua mimi tu.So kila mmoja alijua baada Ya mkewe yaani mimi basi ni yeye.Wanaume ni janga la taifa
hapo sasa! mtu anajua kabisa ana familia huko nje anafata nini?
na wewe ukijua kuwa ni mme wa mtu,kwa nini unaendelea nae?na nyie wanawake mnaotembea na waume za watu ni janga la taifa pia.mnaharibu familia za watu ambazo ndo msingi wa Taifa
asaume yeye tayari ana ukimwi si atakupa pia,eti kisa kizuri kula na wenzio
ngoja niende nje nikabanje, kisha nitarudi kuchangia
wewe ndo unaetaka kula vizuri,hata kama akikufuata kwani lazima ukubali?je kama mimi ndo ninao, na wewe si atakupa pia? na kumbuka yeye ndo alifata mimi.
Anafata ma utamu dada! inawezekana kuna kitu ananyimwa kwa mkewe.
vitu vingine inabidi ucheke tu,mtu kama huyo utamsaidiaje?mm nadhani wakumlaumu ni mume wako, usikurupuke na wanawake wenziyo kwani nao wametongozwa kama ww, you should have a long talk with your man .. find out what he wants in those women .. mhh watatu kazidisha nawe unachekelea ... umekula kwako bibi
Yerewiiiiii, vimelea si vitasambaa??Mkuu Bujibuji elekea upepo unapoelekea wakati unabanja.
sikubaliani na wewe unakuta mtu ana mahawala zaidi ya watano,mke ni wa sita,hapo utasemaje?Anafata ma utamu dada! inawezekana kuna kitu ananyimwa kwa mkewe.
wewe ndo unaetaka kula vizuri,hata kama akikufuata kwani lazima ukubali?