nikiwe
JF-Expert Member
- Feb 4, 2013
- 775
- 345
Alooo eti chai ya sa10 huo uzee wenyewe hufiki hilo nyamafu lako litakuwa lishakuletea virusi kwenye mizoga anayokula afu mie kufika menopause bado sanaaaa wahi kumpikia nyamafu mwenzio najisubir nipelekwe sebene
koma kabisa,mme wangu mpenzi kumwita nyamafu,wewe sema umechukia hapa baada ya kukupa ukweli,NUNGAYEMBE,SUBIRI MENOPAUSE,wakati sisi tunakunywa chai ya saa kumi na vitukuu wewe upweke unakuua,pole bidada