Ukitaka Ubaya...
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 498
- 140
sasa kwa nini alaumiwe mtu mwingine wakati kosa la mkewe?
Alaumiwe mkewe kwa kumpa mme nusu nusu. Kwa nn asimpe vyote?
sasa kwa nini alaumiwe mtu mwingine wakati kosa la mkewe?
mfano mtu kila safari anayokwenda anatongonza,mwingine receptionist wa Dodoma hotel kadanganya na mwanaume eti hajaoa.Wanaume wengine ni mabwege kweliYaani wanaume na wanawake design hii siwapagi respect kabisa. Ukiwa na mme/mmke design hii bora umtoe sadaka ubaki unamuombea tu - asije yeye akakutoa kafara na yeye ndo kachagua starehe...
wewe ndo unaetaka kula vizuri,hata kama akikufuata kwani lazima ukubali?
wewe hatuelewani mimi naongelea mwanaume ambae anakutongonza,anakuambia kabisa kaoa,ila anakuambia ana mpango wa kumuacha mkewe,na wewe unaingia mkenge eti kisa kizuri kula na wenziosasa ukute nipo singo nahitaji mtu wa dizaini ya mumeo nimkatae kwa sababu gani? sema na mumeo dada,wanawake wenzio hawana kosa lolote,kwani hajui kama amekuoa na upo ndani kwake? kwa nini akuache akahangaike na dunia?
Alaumiwe mkewe kwa kumpa mme nusu nusu. Kwa nn asimpe vyote?
sikubaliani na wewe unakuta mtu ana mahawala zaidi ya watano,mke ni wa sita,hapo utasemaje
unaposema hivi unamaanisha hutokuja kuolewa?kama utaolewa na wewe mmeo atatoka nje hope utafurahia,maana miaka inakwenda usifiriri utabaki kuwa kama ulivyo leo.Long live waume za watu masharobaro endeleeni kujihashua hamna chenu siku hizi masingo lediz wanadil na married guys tu
wewe hatuelewani mimi naongelea mwanaume ambae anakutongonza,anakuambia kabisa kaoa,ila anakuambia ana mpango wa kumuacha mkewe,na wewe unaingia mkenge eti kisa kizuri kula na wenzio
Akili za panzi,na siku na wewe ukiwa outdated?kazi ipoHuwa hawasemi kuwa wanataka kuwaacha wake zao wanasema wanataka fun ambayo mkewe kwakuwa outdated hawezi mpa so mkewe atabaki kuwa mkewe ila sisi tutakuwa naye kula bata whenever possible
wewe hatuelewani mimi naongelea mwanaume ambae anakutongonza,anakuambia kabisa kaoa,ila anakuambia ana mpango wa kumuacha mkewe,na wewe unaingia mkenge eti kisa kizuri kula na wenzio[/QUOT
siku hizi kidijitali zaidi sidhani kama wanasema uongo wa hivyo.
unaposema hivi unamaanisha hutokuja kuolewa?kama utaolewa na wewe mmeo atatoka nje hope utafurahia,maana miaka inakwenda usifiriri utabaki kuwa kama ulivyo leo.
kumlizisha mke pia ufanye kazi kwelikweli
unaposema hivi unamaanisha hutokuja kuolewa?kama utaolewa na wewe mmeo atatoka nje hope utafurahia,maana miaka inakwenda usifiriri utabaki kuwa kama ulivyo leo.
aisee,utakuwa young forever,as for you,future is not part of your vocabraliesNdoa haipo kwenye plan za maisha yangu mie nala bata bwana while i can mjue married guys wana experience na wako watamu sana kitandani
Akili za panzi,na siku na wewe ukiwa outdated?kazi ipo
na mme yeye ni kufanyeje?Lkn nahisi kumlizisha mke ni rahisi kidogo, kwani mke si ni wa kudanganya tu! :A S shade:
changamoto tu za ndoa hizo,ukikubali kuolewa inabidi ujue kabisa kua ipo siku mmeo atakucheat tu.