GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,902
- 10,503
Relax!Wewe yawezekana kabisa ni Mzee wa Miaka ya 60
Kipindi ambapo Msomi pekee wa kumuamini ni yule Aliyepata shahada yake Ughaibuni au Mtoto wa Chief Aliyepata Nafasi kusoma shule ya Seminary
Au ndio mnao amini kuwa kuna Shule za kata na wenye Vipaji
Dunia imebadilika.....Elimu yoyote utayohitaji unaipata kwenye keyboard ya Simu janja yako
Ni Wewe tu na Mda wako
Evolution ni ile ile hata ukifundishwa chini ya Ardhi
au ya Mti.... Science ni Universal
Haitegemei ulipo au unafundishwa na nani au Unajifunza kwa njia ipi
Mijitu Kama nyie Inayo amini kwenye huo mfumo unaoitwa rasmi wa Elimu,wa Mtu kusoma Miaka 16 ndio aitwe Msomi ndio chanzo kikubwa Cha kuwa na Wasomi wa hovyo vyuo kikuu