Verossa

Verossa

Yaani ungejua hata usingeongea.
Hivi Mentor kakulipa sh ngapi? Maana naona umekomaa. Hebu andika yooote alafu niite nije nisome, ngoja kwanza niendelee na uumbaji, ila usisahau kumstua Manga ML kuna boonge la deal.
Hahaha najitahidi tu kukupa ushirikiano, usije ukajinyonga Kwa ajili ya upweke na rejections ulizonazo
 
Haha daddy kama Honey Faith vile, kasema tu kuanzia leo wewe ni baby momma full stop. Umeneng'eneka weee, mtu kimya tu
Hahahaaaaaa!! Eti penda penda, unadhani ningekuwa nimependa ningehangaika? Sitatulia hadi nitakapopenda, alafu nikipenda hata hutojua madam, utastuka tu yuleeeeeee!!
Mwambie Heaven Sent aache majungu maana sio mtaji, kwa baba yake sirudi hata kwa mtutu.
Kujipa moyo vepeee? ?
Ninaemtaka bado hajajitokeza ujue, hadi ajitokeze ndio nitatulia ila kwasasa ngoja niwafolenishe tu.
 
Amesema kwa babayo eti harudi, eti wewe ndo ulienda kumchumia huo mnukanuka ukaja kumwogesha nao.
Unapinga au unakubali?
Jitahidi....atakaa kwenye mstari ulionyooka.
Si unajua bado yuko 'gizani' kusaka ampendae!
Akhaa amtafute huyo alompa nyota ya ukoko, sio mie. Na mzee wangu hana hata wazo naye
 
Back
Top Bottom