Verossa

Verossa

Huyu atoto mwenyewe haeleweki bhana... in short, hajatulia! Mara leo kwa chige, kesho atataka kujiegemeza kwa RRONDO... na mwanamke ukiona anambwelambwela namna hii basi fahamu anadaiwa kodi ya nyumba! Mwambie hapa mgegedo tu mengine ayapeleke kwa DED!
Sasa chige hujui mmoja hawezi kutosheleza, inabidi mvumiliane tu ili maisha yasonge, usijali kodi ashalipa mwenzio.
 
RRONDO kumbe aliikuwa anataka kuongeza koloni. Jana kalazwa nje na Honey Faith..sijajua kama keshasamehewa au yu single
Honey Faith najua si mtu wa mchezo mchezo, kama hajalazwa nje...basi chini. RRONDO nawe tulia sehemu moja.
Wataka kuwa kama yule jamaa wa Keko, kaweka vi-zygote kwa wanawake 7.
Jamaa ana nguvu za Simba dume
 
RRONDO kumbe aliikuwa anataka kuongeza koloni. Jana kalazwa nje na Honey Faith..sijajua kama keshasamehewa au yu single
Honey Faith najua si mtu wa mchezo mchezo, kama hajalazwa nje...basi chini.@RRONDO nawe tulia sehemu moja.
Wataka kuwa kama yule jamaa wa Keko, kaweka vi-zygote kwa wanawake 7.
Jamaa ana nguvu za Simba dume
 
Ninaemtaka bado hajajitokeza ujue, hadi ajitokeze ndio nitatulia ila kwasasa ngoja niwafolenishe tu.
Angalia usije pata koroma mdogo wangu
Hahahaaaaaa!! Eti penda penda, unadhani ningekuwa nimependa ningehangaika? Sitatulia hadi nitakapopenda, alafu nikipenda hata hutojua madam, utastuka tu yuleeeeeee!!
Mwambie Heaven Sent aache majungu maana sio mtaji, kwa baba yake sirudi hata kwa mtutu.
Ngoja nimtafute mtu aje na Iphone 7....
Nicky Minaji kasema akija mtu na 7 yake, atamuacha Meek wake.
Hahahahha....... ngoja tujichange
 
Angalia usije pata koroma mdogo wangu

Ngoja nimtafute mtu aje na Iphone 7....
Nicky Minaji kasema akija mtu na 7 yake, atamuacha Meek wake.
Hahahahha....... ngoja tujichange
Makoroma si ndio haya sasa unataka niyapate mara ngapi?
Unadhani hata nahitaji iphone 7?? Walaaaaa, ninalolitaka nikilipata takuambia.
 
Back
Top Bottom